Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Uu ndo uzi wa kwanza kuusoma jf,... Nilivoingia kwa mara iyo
Dah, mimi pia mkuu huu uzi nilivouona tu ukanikumbusha mbali sana. Ndio ulikuwa wa Kwanza kwanza kuusoma mpaka nikaandika na hizi procedures kwenye daftari ili eti kwamba hata uki miss-place basi niwe na kumbukumbu ya jinsi ya kufanya "Astral protection" hahaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni njia safi sana kwa wale waliokata tamaa ya maisha na kuamua kujiua. Huna sababu ya kununua sumu wala kamba ya kujinyongea. unatoka tu jumlaaaaaa dadeeeki kifo hakina brake. Ngoja nikawafundishe wanyalu .... unakufa kisasa...
 
mords naona mnadirect comment za member anaitwa hardbody kwangu,naimba mliangalie hili
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiku huu wa leo nimesoma izo comment zote 148 iv,maana ni muda niliukimbia huu uzi,kiukweli wale wenzangu wa kuzoea kuonjaonja wale ichi kitu au zoezi au kazi ya kuchezea roho(nafsi) sio nzuri japo ni kweli yawezekana,ila haipendezi na kama mshazoea ebu acheni au punguzen kwa kua pia ni maarifa kwa namna moja au nyingine,hili swala la AP cjui linavyojulikana kwa sasa,cc wengine huwa tunaita ndoto tu ila ni kuiachia roho nafasi ya maisha kwa mda wake,kwakua mwili ama jengo la roho lina mda wake na roho nayo ina mda wake wa maisha yake,japo yenyewe INASEMEKANA ina mda mrefu zaid yaani ni ya milele,sasa tunapokuwa tunaifanyia malazimisho kuikontrol pasipo ridhaa yake ni makosa makubwa sana,na nikuambieni tu kitu pale mwili unapokuwa mapumzikoni either umepitiwa na usingizi au umeketi?,ndipo pale roho nayo huweza kufanya mambo yake au maisha yake kwa wakati ule,kama ni kucheza,kuzurura,kubrdk,kufanya ushuhuda n.k.,na jua kwamba mambo au jambo litendekalo rohoni huwa ni kubwa na lenye kuchukua muda mrefu endapo ungelijalibu kimwili lakini kwa kuwa limetendeka rohoni ni muda mfup tu huchukua,nikijarb kukadalia muda nadhani dakik15 za rohoni ni masaa hata9-12 ya duniani nazan ni cku nzima japo kimakadilio tu,kwa maana majukumu hutendeka kwa haraka,mienendo ama speed huwa ni ya kasi sana,maamuz ya akili huwa shapu sanaa,SASA BASI NIWAJUZE KWA HILI,roho zimefaidi sana maisha wakat jengo lake(mwili)likiwa jipya,yaan mwili kuwa mchanga apa nazungumzia kwanzia mwaka1-12,kuvuka apo inakuwa shida sana na maisha ya roho yanajificha yanakuwa hayana tena urafiki au ukaribu na jengo lake ambalo ni mwili,hivyo unakuta hata kama roho iwapo kwny maisha ya upande wake inafanya maisha ya siri ili maradi ww mwili usipate kutambua,na ndo kwa maana watu wazima wengi wetu kukumbuka tulichoota au kilichotutokea endapo tumeketi upweke inakuwa ngumu,WHY urafiki na roho umekufa na roho yaishi kwa kujificha tuu ilimradi siku yake ya kuukimbia mwili ikifika iondoke,utotoni tumeota tukipaa ndotoni tukizunguka mitaani hata kwenda juu kwenye sayari kadha wakadha,mfano hai mimi nakumbuka hivi vitu utotoni vimenitokea sana,kwanza nilivipenda japo nilikua sifaamu kuwa ni maisha ya kiroho nilikuwa napenda sana kuwahi kulala,na kila nikilala hali hii ya kiroho ilinikumba nilikua naamka vzr atokea dirishani au ukutani bila mwili kujigonga yaani nayeyukia tu na kujikuta niko nje,nilipokuwa naishi kulikuwa na uzio wa ukuta mrefu kiac kama tuseme fensi,yaan vilevile haujabadilika chochote,nilikuwa nikiukaribia naruka kiasi na kusimama juu ya ule ukuta,nikisha kusimama naruka kimo cha kujitosa majini ndipo naelea levo flan na kisha napaa na kukata mitaa,kuzurura angani n.k,lakini toka nimekua mtu mzima ile hali imetoweka,ni WHY?kwa kuwa roho imejitenga na maisha yake yaifanya kisiri na ipo mbioni kuacha jengo hili,sasa tunapotaka kuforce maisha ya kiroho itatugarimu tena si kidg sana tu,nambie wapata faida gani utapokuwa uko uvishuhudiavyo?,NA TAMBUA UKO MNAPO TANGA TANGA KUNA UWEZEKANO WA KUTOKURUDI YAANI IKIAWA KIMOJA,endapo umejifungia mahala ukawa unatenda ayo mambo ikatokea mtu akaja kukuamsha au kukutikisa nawe uko mbali tambua ndo kwaheri hurudi yaani tukusaau,haya mambo ya kiroho nadiliki kusema kwamba unapofanya hili jambo huna tofauti na wizard,msichezee roho zenu maana ziko nguvu kuzizidi roho uko mzururapo pasipo na maana zaid ya kukutana na mambo ya ajabu ajabu amna cha msingi......ENDELEENI NA KUFUNDISHANA UPUUZI WA MAISHA YENU.
 
Mkuu these are just hallucinations. Sio mpaka ufuate izo steps ulizotoa hapo ht pia kuna some drugs ukimpa mgonjw ana hallucinate. Na sio hii tu mambo mengi hayana ushahid mpk leo km telekinesis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…