Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Believe in God and everything is possible... chochote mungu alichokuficha machoni pako hakifai kama hajakuruhusu
 
Mkuu these are just hallucinations. Sio mpaka ufuate izo steps ulizotoa hapo ht pia kuna some drugs ukimpa mgonjw ana hallucinate. Na sio hii tu mambo mengi hayana ushahid mpk leo km telekinesis
Mojawapo ni marijuana
 
Hivi ile MTU amelala anaota ndoto hadi ana amka anatembea hata kuelekea nje ya nyumba, unamshika unamrudisha Ndani kitandani...huwa INA maana gani? Na huwa wanasema hutakiwi kumwita kwa nguvu au kimshtua...atafanyeje?
 
Hivi ile MTU amelala anaota ndoto hadi ana amka anatembea hata kuelekea nje ya nyumba, unamshika unamrudisha Ndani kitandani...huwa INA maana gani? Na huwa wanasema hutakiwi kumwita kwa nguvu au kimshtua...atafanyeje?
hiyo ni sleep walking mtu anakua anaota hali ya kua mwili wake haujalala, na hii huwatokea sana watu wanaolala kwa kujigeuza geuza hovyo
 
Rakims hii ishu ni kweli mi juz kat nmetoka
ukaenda wapi mkuu or nini umejionea? mie huwa inanijia automatic wakati wa kulala, yaan huwa hii mechanism naishtukia wakti wa ile safe paralyze, pale kama roho inataka kuacha mwili...kwa kuwa now nshajua kwnn huwa hali ile inajitokeza basi hupapatua fasta nirudi ktk hali ya kawaida...

Dah,mwili huwa una sisimka sana aise...yaani sitaki kabisa hizo habari za kutoka wala nini,yaani ile hali ikinijia wakat bdo nipo conscious bc najipapatua mpk nishtuke live na mwili wangu wa kawaida,hlf naanza upya kuutafuta usingizi. yaani baada ya kuusoma huu uzi ndo nikagundua hakuna jinamizi wala nini kumbe ile hali husababishwa na hii mechanism,mtu hujihisi kama amekabwa yaani hawezi hata kuita kwa sauti (haitoki) wala hatikisiki (kama anaganda hivi kwa sekunde kazaa) kisha ile roho ikirudi pahala pake ndo hujikurupua...huku kijasho kikikutoka.

Hii kitu ni noma sana,haina tofauti sana na kufa kudadeki!
 
[emoji6] uoga wako ndio umaskini wako mkuu

rakims
 
hongera mkuu wengi huona ni stori ya kutunga rakims
Mkuu Rakims mimi hivi karibuni nimeweza kujifunza lucid dreaming ingawa sio kupitia hii thread maana hii nimekutana nayo leo, nimejaribu lucid dreaming na nimeweza mara kadhaa hata jana usiku pia lakini ile hali ya kuanza lucid dreaming pale brain inapofanya body paralysis aisee its very frightening, hivi kuna namna ya kuskip hii stage pia je lucid dreaming ni sawa na hiyo uliongelea ya kutenganisha mwili na roho au ni vitu viwili tofauti?
 
ni vitu vi2 tofauti mkuu unaweza kujifunza zaidi kwenye uzi wangu wa jinsi ya kuongoza ndoto za usiku (lucid dream) nilishaelezea
 
Mods Nina nyuzi kama mbili nimepost Leo ni siku 2 how long it takes until kuonekana?
 
ha
Hakuna kitu kama hicho. Astral projection is not real.. You can only go out of ur body through imagination.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…