Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Habar ndugu me nime jaribu hiyo AP jinsi ya kutoka kwnye mwili but kila nikijaribu najikuta naamka kama kawaida tu
 
Habar ndugu me nime jaribu hiyo AP jinsi ya kutoka kwnye mwili but kila nikijaribu najikuta naamka kama kawaida tu
Tulia kabisa mpaka upate hiyo body paralysis yaani hata ukitingisha kidole hakitingishiki
Then jaribu kutoka
 
how to deal with fear during sleep paralysis? maana kila nikijaribu nisiogope ndo kwanza fear ina increase
Inua mitetemo yako na uamuru moyo wako kwa fikra kupunguza kasi ya mapigo hutaogopa hata ukiwekewa mtutu wa bunduki mbele
 
Habar ndugu me nime jaribu hiyo AP jinsi ya kutoka kwnye mwili but kila nikijaribu najikuta naamka kama kawaida tu
Unatatizo kwenye relaxation na awareness mkuu rekebisha hayo
 
Ulimwengu wa kichawi mnakaribia kula nyama za watu.
Huwa uwezo wa kula vitu vyenye roho ukiwa huko mkuu hata kama vimekufa, uchawi ni kutoka kimazingaombwe na AP ni kutoka kiroho boss kama malaika wanakula mizoga na wewe utakula OK?
 
Pasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.

Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
Yaani unaongea kana kwamba ni rahisi kiasi cha kwenda kwa mchepuko na kurudi.
 
Kuna kanuni moja ambayo inabidi ikuongoze .. "Ukiogopa unakufa, usipoogopa unakufa pia .. ya nini kuogopa?" Katika kufanya jambo lolote huwa tunatanguliza matarajio mazuri, lakini matokeo yanakuwa na sehemu mbili .. hasi na chanya!
 
https://jamii.app/JFUserGuide you Rakim nimepractice nimeshindwa kulala so how to come back cuz I got fear, fear of disappear in the real world because even witch hunters may capture me.
and people are preparing to break door to get in and send me rest in peace please help me to avoid this condolence oh my God I want to die natural and not by means of disappearing
 
Back
Top Bottom