Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Hii kitu huwa inanitokea sometimes hasa nikiwa alone nmetoka kuoga ila huwa najaribu kwa nguvu zote kuikataa,huwa ninadhani ni sababu ya uchovu ila sasa naanza kuelewa kitu..ila kidogo nimetishika mkuu Rakims
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...

Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....


Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....


ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....


Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu


By: Rakims

Mkuu asante sana kwa ilmu nzuri sana....kwa watu maalumu zaidi.

Naomba nami nichangie kiduchu.

Hizi ilmu zaitwa Universal Life Force Energy.

Na ili ufanikishe kuutumia mwili wako katika nguvu zake ...lazima ujue kwanza kua ipo miili aina 7.

1.Physical body...huu mwili ni kila mtu anao..na huu mwili ukiutegemea huezi fanya hayo mambo ya ajab ajab...itabid ufanye mambo yanayo endana na mwili wako huu.

2.Aura body. ..ndio mwili wa pili unaounfana na huo mwili wa kwanza.
Una umbali wa inchi 3 mpk 8.

Ukiweza kuutumia huu mwili utakua tafaut kias ba ule wa mwanzoni.

Na hapo utaweza kujimudu na athari mbaya...na utaoata nguvu pia.

3. Astral body..ndio ambao ulio tuelimisha hapa.

Kwa hiyo ungetufafanulia vzur ili sie wanafunzi tujue kua kueza fanya hayo mambo ..itakua ugumu mpaka tukieza kuondoka katika hii miili tulii nayo ya kawaida.


Utaona ni zoezi gumu ukianzia hatua ya mbele kabla hujamaliza hatua ya mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
astral projection is used these days by experienced wizards,witches and satanists,,practising this causes one to be old aged
 
Katika Quotes Zote Nimesoma Hapa Nimeona Nisijibu Maana Watu Wanaongeza Vitu Visivyohusiana na Pamanently Wanaconclude kwamba Ni Wakala Wa Shetani... everytime we try to speak our true nature people thoughts dat we talking about wicca and when we dare try to do something amazing peoples thoughts remain wicca tatizo Tanzania Imani Ya Kwanza Inayoongoza Na Kupewa kipaumbele ni uchawi out of body is our natural action but we don't even try to think..

Namshangaa sana Pasco kusema ukijitingisha au kutingishwa kwenye mwili uliouacha unakata uzi sasa kuna mtu katika uzi wako wa psychic powers aliwahi kukwambia anaweza kutoka nje ya mwili na akavuka barabara akirudi anakuta watu wamemzunguka na anaingia kwenye mwili wake na wewe Pasco Ukamwambia Kwamba Ile Ni Astral Projection labda ni AP Ipi ulikuwa Unazungumzia..

kwa akili ya mtu wa kawaida ataelewa nini kinachofanyika mtu akizimia means kwamba alikuwa anazimia na wale lazima watamuinua watampepea na kumsemesha pia kumtingisha sana tu....
usiwatishe watu wakashindwa kujua what are successful people do to archieve their goal....

Haika Nashukuru Kwa Quote Yako Maana Imejibu Zote Za Hapo Juu.....


Rakims

To be honest i like people like you who do not get descouraged by what other people's opinion,hujaacha kutoa kile unachokijua na kuamini despite maneno mbofumbofu wanayokwambia..Hongera sana mkuu..
Tofauti yako na Pasco inawezekana ni waalimu wenu au labda level mnazoobgelea,so wew elezea unachokijua na yey (akipenda)ataelezea anachokijua pamoja na precautions zake including the cord.
 
Last edited by a moderator:
je unaweza kutoka nje ya mwli ukaenda kuiba pesa mahal na ukirudi ktk mwil halis ukaziona na kuzitumia km kawaida, au kutenda uhalfu wowote
 
Rakims naomba unisaidie kwa hili mimi mara kazaa utokewa na hali yakumuona mtu kihisia zen baada ya muda kidogo yule yule mtu namuona livu akiwa karibu yangu au hata anapita kwa mbali Je hii inausika na nn ktk maswala ya uwezo wa binadamu au nayo ina-relate na AP
 
Hii kitu huwa inanitokea sometimes hasa nikiwa alone nmetoka kuoga ila huwa najaribu kwa nguvu zote kuikataa,huwa ninadhani ni sababu ya uchovu ila sasa naanza kuelewa kitu..ila kidogo nimetishika mkuu Rakims

Wewe ukifanya kwa umakini utaenda hadi mbinguni 🙂
 
Duuu, nitarudi baadaye kusoma vzr maana.... binadamu bana!!!
 
je unaweza kutoka nje ya mwli ukaenda kuiba pesa mahal na ukirudi ktk mwil halis ukaziona na kuzitumia km kawaida, au kutenda uhalfu wowote

Nadhani mkuu Alisha sema ukiwa umetoka nje ya mwili huko utakuwa una uwezo wakuona may b na kufanya maongezi lkn huwezi gusa au kuchukua kitu kwa sababu hizo vitu vyote vipo physical na ww haupo physical mwili wako umesha uacha ,,, mkuu correct me if I am wrong
 
Halafu mwisho wa yote unapata faida gani ukifanya hivyo? kweli shetani yupo kazini
 
Mkuu nivizur kupitia post zilizo tangulia

Nimezipitia ila sijaona faida yake. Kuliko ukae kama mstimu wa umeme, usitikishike sijui ubongo uparalaizishe mwili, si heri ukae na kalamu na karatasi upange mradi wa kufanya, business hivi, au uruke kamba ufanye mazoezi upunguze kitambi
 
Back
Top Bottom