Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Mimi naongezea kuwa ni muhimu sana kutrack expenses zako. Huenda kuna mahala pesa ndogondogo zinaslip bila wewe kujua au kuwa makini. Mfano mm last week nimeona 7700 zimeenda kwenye matumizi ambayo ni ya ovyo, tho.. Week hii mpaka sasa kwenye matumizi ya ovyo n 500 tu. Nataka kueliminate kabisa haya matumiz ya ovyo...
Kabisa, hili nalo n muhimu sanaaaa
 
Mengi umeandika vyema ila hiyo hela ya kusave, huyo mtu anapokea sh ngapi.

Ushauri wako ungekua murua zaidi kama usingeweka hizo figures
 
Mimi naongezea kuwa ni muhimu sana kutrack expenses zako. Huenda kuna mahala pesa ndogondogo zinaslip bila wewe kujua au kuwa makini. Mfano mm last week nimeona 7700 zimeenda kwenye matumizi ambayo ni ya ovyo, tho.. Week hii mpaka sasa kwenye matumizi ya ovyo n 500 tu. Nataka kueliminate kabisa haya matumiz ya ovyo...
Name them plz..hayo matumiz ya ovyo
 
In life kuna unnecessary wastes nyingi ambazo zinaongeza gharama za maisha hasa kwa vijana wanaoanza kazi.
Nikijitolea mfano mimi nilipokuwa kijana nikitaka kunywa pombe nawapigia simu marafiki 2 au 3. Wao nao pia unakuta wanawapigia marafiki zao wengine kwa hiyo at the end of the day ukizungusha raundi Moja ya bia ni mtu kumi wakati ulikuwa na mpango wa kununua bia 6 Kwa siku hiyo.
Mmoja akitoa round mwingine analipiza, mara mnashauriana mambo ya kwenda club etc.
Kwa hiyo ukiweza kukata chain za starehe mbona unatoboa? Changamoto ni vipi utakata hizo chain na kuondoa unnecessary wastes
 
In life kuna unnecessary wastes nyingi ambazo zinaongeza gharama za maisha hasa kwa vijana wanaoanza kazi.
Nikijitolea mfano mimi nilipokuwa kijana nikitaka kunywa pombe nawapigia simu marafiki 2 au 3. Wao nao pia unakuta wanawapigia marafiki zao wengine kwa hiyo at the end of the day ukizungusha raundi Moja ya bia ni mtu kumi wakati ulikuwa na mpango wa kununua bia 6 Kwa siku hiyo.
Mmoja akitoa round mwingine analipiza, mara mnashauriana mambo ya kwenda club etc.
Kwa hiyo ukiweza kukata chain za starehe mbona unatoboa? Changamoto ni vipi utakata hizo chain na kuondoa unnecessary wastes
Starehe zinatuponza sanaa vijana,
Pombe na wanawake
 
IMG_4639.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Wee utakua ni pro pro max

Acha kabisa, juzi kati hapo nilienda ofisi za msaidizi kamishna wa ardhi kanda kufuatilia hati ya kiwanja, baada ya process za hapa na pale file langu likaletwa kumbe jamaa wa almashauri aliyekuwa anashughulikia kuna madocument Matatu wakili alisaini mawili moja akulisaini yakawasilishwa kanda hivyohivyo, kwahiyo wakaniambia hapo option ni kuandaliwa hizo document nyingine ili wampe wakili mwingine azisaini zote gharama 30,000 + ya huyo dada atakayechapa (kwa rate zangu angekula buku tuu[emoji16][emoji16]).
Nikamwambia hiyo gharama kubwa, akaniambia basi nikupe hiyo form ambayo haijasainiwa umpelekee wakili aliyezisaini, nikasema fresh tuu, nikawasha gari nikaipeleka huko almashauri ikasainiwa nikairudisha.
Lakini baadae nilivyopiga hesabu ya mafuta kwenda na kurudi almashauri ni kama 25,000/= ukiongeza na muda niliotumia nikagundua nilifanya biashara kichaa tuu.
 
Acha kabisa, juzi kati hapo nilienda ofisi za msaidizi kamishna wa ardhi kanda kufuatilia hati ya kiwanja, baada ya process za hapa na pale file langu likaletwa kumbe jamaa wa almashauri aliyekuwa anashughulikia kuna madocument Matatu wakili alisaini mawili moja akulisaini yakawasilishwa kanda hivyohivyo, kwahiyo wakaniambia hapo option ni kuandaliwa hizo document nyingine ili wampe wakili mwingine azisaini zote gharama 30,000 + ya huyo dada atakayechapa (kwa rate zangu angekula buku tuu[emoji16][emoji16]).
Nikamwambia hiyo gharama kubwa, akaniambia basi nikupe hiyo form ambayo haijasainiwa umpelekee wakili aliyezisaini, nikasema fresh tuu, nikawasha gari nikaipeleka huko almashauri ikasainiwa nikairudisha.
Lakini baadae nilivyopiga hesabu ya mafuta kwenda na kurudi almashauri ni kama 25,000/= ukiongeza na muda niliotumia nikagundua nilifanya biashara kichaa tuu.
Ahahahahah daah ungempa 15k mbona ingekua chap tuu..
Mi ubahili upo kwa hawa viumbe hawa .
Ila kwa mambo mengine ni chap tuu kikubwa jambo liwe la maana kweli 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 wee ni over pro ahaha
 
Acha kabisa, juzi kati hapo nilienda ofisi za msaidizi kamishna wa ardhi kanda kufuatilia hati ya kiwanja, baada ya process za hapa na pale file langu likaletwa kumbe jamaa wa almashauri aliyekuwa anashughulikia kuna madocument Matatu wakili alisaini mawili moja akulisaini yakawasilishwa kanda hivyohivyo, kwahiyo wakaniambia hapo option ni kuandaliwa hizo document nyingine ili wampe wakili mwingine azisaini zote gharama 30,000 + ya huyo dada atakayechapa (kwa rate zangu angekula buku tuu[emoji16][emoji16]).
Nikamwambia hiyo gharama kubwa, akaniambia basi nikupe hiyo form ambayo haijasainiwa umpelekee wakili aliyezisaini, nikasema fresh tuu, nikawasha gari nikaipeleka huko almashauri ikasainiwa nikairudisha.
Lakini baadae nilivyopiga hesabu ya mafuta kwenda na kurudi almashauri ni kama 25,000/= ukiongeza na muda niliotumia nikagundua nilifanya biashara kichaa tuu.
Haahhaahah hapo ulipiga hesabu kichaa, ila kama ulikuwa free with your time then ilikuwa deal zuri tu
 
Back
Top Bottom