Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Kusave hela ni ile hali ushamaliza mambo yote ya msingi.

Kama bado mambo ya msingi hujakamilisha huwezi kusave hela.

Kwanini usave hela hali ya kuwa una mambo mengi hujakamilisha?

Fanya ubahili woote ile si kwenye sehemu mbili kuu.

A- CHAKULA
B-MALAZI

huwezi shinda njaa kisa savings, huwezi lala ktk vibanda vya mbwa kisa unasevu hela ya kodi isiwe kubwa.
 
Mwanzoni ukiwa unakula nauli,huwezi tena kumrudia mzazi
Ukamwambia mambo ya nauli nk
Kwa style hiyo lazima utajifunza kusave hela
Ndiyo namuambia mleta mada haya mambo yanaanzia utotoni kufundishwa

Ova
Hata usipojifunza utotoni, ukubwani huna namna lazima ujifunze savings hasa kwa anaeanza maisha kama alivyosema. Mfano una mshahara 500k utanunua vipi electronics na vitu vingine vya gharama bila savings?
Watu wengi wanajenga kwa kudunduliza ndio savings zenyewe hizo. Ukisubiri upate 50-100m ndio ujenge utakufa kwenye nyumba za kupanga.
 
Hata usipojifunza utotoni, ukubwani huna namna lazima ujifunze savings hasa kwa anaeanza maisha kama alivyosema. Mfano una mshahara 500k utanunua vipi electronics na vitu vingine vya gharama bila savings?
Watu wengi wanajenga kwa kudunduliza ndio savings zenyewe hizo. Ukisubiri upate 50-100m ndio ujenge utakufa kwenye nyumba za kupanga.
Kweli kabisa,yale mambo yakusema ntafanya jambo fulani
Mpaka siku nkipiga mamilion ya hela hiyoo ni ndoto...labda hela za kuiba
Mdogo mdogo ndiyo mwendo

Ova
 
Kusave hela ni ile hali ushamaliza mambo yote ya msingi.

Kama bado mambo ya msingi hujakamilisha huwezi kusave hela.

Kwanini usave hela hali ya kuwa una mambo mengi hujakamilisha?

Fanya ubahili woote ile si kwenye sehemu mbili kuu.

A- CHAKULA
B-MALAZI

huwezi shinda njaa kisa savings, huwezi lala ktk vibanda vya mbwa kisa unasevu hela ya kodi isiwe kubwa.
Kuna watu wanateseka kisa wanalazimisha waishi nyumba nzuri. Kuna watu wanakula chalula sahani 15,000 au 20,000 kisa anakula kwa fulani. Haina maana akila chalula cha 5,000 sehemu nyingine anakula chakula kibaya.
Point hapa ni kukata unnecessary expenses ambazo ndio zinamaliza hela.
Una mshahara 1m unataka ukakae mbezi Beach nyumba ya 500,000 wakati ungekaa mitaa mingine nyumba ya 300,000 poa tu. Usisahau mleta mada anazungumzia wanaoanza maisha.
 
Mwanzoni ukiwa unakula nauli,huwezi tena kumrudia mzazi
Ukamwambia mambo ya nauli nk
Kwa style hiyo lazima utajifunza kusave hela
Ndiyo namuambia mleta mada haya mambo yanaanzia utotoni kufundishwa

Ova
Kama siyo kuomba nauli ni kumtungia tukio.

Hiyo tabia ama uwe muweka akiba au mpigaji
 
Yote Kwa yote saving 1.8 M per year won't take you anywhere..take it or leave it
Mkuu, hii pesa unanunua kiwanja,
Hii pesa unaanzisha biashara ya kukupa hata 300-400k kwa mwezi
Hii pesa itaokoa uhai wako ikiwa utaumwa ghafla,

Its true haitakufanya uwe bakhresa, ila itakusave na kukusaidia kupiga hatua moja zaidi
 
Kusave hela ni ile hali ushamaliza mambo yote ya msingi.

Kama bado mambo ya msingi hujakamilisha huwezi kusave hela.

Kwanini usave hela hali ya kuwa una mambo mengi hujakamilisha?

Fanya ubahili woote ile si kwenye sehemu mbili kuu.

A- CHAKULA
B-MALAZI

huwezi shinda njaa kisa savings, huwezi lala ktk vibanda vya mbwa kisa unasevu hela ya kodi isiwe kubwa.
Hayo mambo yote ya msingi utayafanya kwa kusave,
Utanunua gari kwa kusave, nyumba kwa kusave
Hata kuweka geto sawa kwa kusave
 
Mkuu, hii pesa unanunua kiwanja,
Hii pesa unaanzisha biashara ya kukupa hata 300-400k kwa mwezi
Hii pesa itaokoa uhai wako ikiwa utaumwa ghafla,

Its true haitakufanya uwe bakhresa, ila itakusave na kukusaidia kupiga hatua moja zaidi
Umeweka thread nzuri inafundisha halafu iko wazi lakini kuna watu wanakuja na hoja nyepesi kujaribu kupinga. Na zote unazipangua kiweledi.
 
Kuna watu wanateseka kisa wanalazimisha waishi nyumba nzuri. Kuna watu wanakula chalula sahani 15,000 au 20,000 kisa anakula kwa fulani. Haina maana akila chalula cha 5,000 sehemu nyingine anakula chakula kibaya.
Point hapa ni kukata unnecessary expenses ambazo ndio zinamaliza hela.
Una mshahara 1m unataka ukakae mbezi Beach nyumba ya 500,000 wakati ungekaa mitaa mingine nyumba ya 300,000 poa tu. Usisahau mleta mada anazungumzia wanaoanza maisha.
Bajet ya kula 150k Mwezi mzima kwa hili jiji la DSM Inawezekana tuseme tu ukweli.
 
Hayo mambo yote ya msingi utayafanya kwa kusave,
Utanunua gari kwa kusave, nyumba kwa kusave
Hata kuweka geto sawa kwa kusave
Utanunua gari ya mil 15 kwa kusave laki kila mwezi? 😅 haya sawa.. upo sahihi.
 
Utanunua gari ya mil 15 kwa kusave laki kila mwezi? 😅 haya sawa.. upo sahihi.
Mkuu, mm sijasema usave laki kila mwezi, ukisave kadri uwezavyo, huku ukiongeza kipato chako, utanunua tu gari siku

Anyway, kuna wenzetu kupinga kila kitu ndio mnajua,
 
Naungana na ww kwa baadhi ya vitu vingine siafiki;

Msosi kupika labda jioni na chai ya asubuhi mchana unakula huko huko kazini!

Umesema usigongee demu lodge 🤔🤔aisee siwezi peleka demu geto hawa wa kwa chalamila wanatabia za kuzoea au kung'ang'ania, Kuja mara Kwa mara napenda kuyamaliza lodge

Pombe kama unapenda tumia ila kwa umakini

Harusi na misiba hapa inategemea, usipawekee sheria kiasi hicho ni sehemu ya kudeal nayo kimkakati
Hapo kwenye pombe umeiweka vyema
 
Back
Top Bottom