.Hapa kwenye pombe uko sawa pombe inamaliza hela acha kabisa
Mademu ndo wanamaliza hela kwasababu kwenye mademu, inahusisha na pombe humo humo ndani.Hapa kwenye pombe uko sawa pombe inamaliza hela acha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Hapa kwenye pombe uko sawa pombe inamaliza hela acha kabisa
Mademu ndo wanamaliza hela kwasababu kwenye mademu, inahusisha na pombe humo humo ndani.Hapa kwenye pombe uko sawa pombe inamaliza hela acha kabisa
Ungepanda daladala.Acha kabisa, juzi kati hapo nilienda ofisi za msaidizi kamishna wa ardhi kanda kufuatilia hati ya kiwanja, baada ya process za hapa na pale file langu likaletwa kumbe jamaa wa almashauri aliyekuwa anashughulikia kuna madocument Matatu wakili alisaini mawili moja akulisaini yakawasilishwa kanda hivyohivyo, kwahiyo wakaniambia hapo option ni kuandaliwa hizo document nyingine ili wampe wakili mwingine azisaini zote gharama 30,000 + ya huyo dada atakayechapa (kwa rate zangu angekula buku tuu[emoji16][emoji16]).
Nikamwambia hiyo gharama kubwa, akaniambia basi nikupe hiyo form ambayo haijasainiwa umpelekee wakili aliyezisaini, nikasema fresh tuu, nikawasha gari nikaipeleka huko almashauri ikasainiwa nikairudisha.
Lakini baadae nilivyopiga hesabu ya mafuta kwenda na kurudi almashauri ni kama 25,000/= ukiongeza na muda niliotumia nikagundua nilifanya biashara kichaa tuu.
Aisee una akili sana.Shukran kwa mchango wako uliojaa hoja nzito,
Kuhusu swala la chumba nimesisitiza kiwe livable na pia kisiwe cha bei kubwa na ndo mana nikasema 10% ya kipato,
Kuhusu wanawake licha ya kuwa upo sahihi kwa mtazamo wako ila jamii yetu bado haijafika hio level, kwa hio tuanze kwa kuwapunguzia kwanza kuhonga mpaka hapo wataposhtuka hatuhongi tena
Kuhusu michango ya harusi naungana na wewe, ila kwenye kukwepa lawama ndo mana nimesema toa tu 10k usepe zako usibebe kadi unless ni mtu wa karibu
Yote kwa yote mchango wako ni mkubwa, na wenye madini ya kutosha ambayo mtu akiyafuata atakuwa bora zaidi na zaidi
Hapo utatoboa kweli, maana hapo ni kusevu 12% ya kipato chako, wanashauri usevu 30%, vipi zaka na sadaka wapi?Mimi nina mshahara wa 800k
Huu ndo mchanganuo wangu
1.200k house
2.200k usafiri na kula
3 100k natuma kijijini
4.100k savings
5.200k enjoyment
Viumbe gani wakati wewe ni mwanamkeAhahahahah daah ungempa 15k mbona ingekua chap tuu..
Mi ubahili upo kwa hawa viumbe hawa .
Ila kwa mambo mengine ni chap tuu kikubwa jambo liwe la maana kweli 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 wee ni over pro ahaha
😂😂😂😂😂DaaahViumbe gani wakati wewe ni mwanamke
aka kausha damu
Jitahid uache kuwa omba omba😂😂😂😂😂Daaah
Nimeomba nini mimi mkuuJitahid uache kuwa omba omba
Unaomba sana pesa na dudu la yuyuNimeomba nini mimi mkuu
JF bhana!Yote Kwa yote saving 1.8 M per year won't take you anywhere..take it or leave it
Kwanini 100k isiwe entertainment na 200k savings?Mimi nina mshahara wa 800k
Huu ndo mchanganuo wangu
1.200k house
2.200k usafiri na kula
3 100k natuma kijijini
4.100k savings
5.200k enjoyment
Hapo sasa, mshahara wenyewe mdogo afu unakula bata tuKwanini 100k isiwe entertainment na 200k savings?
Hadi nauli unabania unatembea. Mimi nilikuwa bingwa wa kusevu ile hela ya shule.Kuweka akiba unafundishwa tokea utotoni
Nakumbuka nilipokuwa darasa la 4,unapewa hela ya wiki nzima sh 5,sh 10
Hapo kuna nauli yako nk,sasa ole wako usiende shule lazima uwe na majibu
Ova
We jamaa unajua hesabu?Shukran kwa kuja,
Suala la chakula cha mchana unaweza beba, au ukaamua kununua ila pale unapopata chance pika msosi
Suala la demu nimesema uwe na demu mmoja tu, ko inabidi uhakikishe unaye mwenye sifa zako, sasa mkuu lodge hizi za 15K ukigonga mara 6 kwa mwezi ni 90k kwa mwaka ni 1.06M, huoni kama ni loss kubwa sana, na ukienda lodge jua mtanunua msosi tena wa gharama tofaut na geto ambako angepika ?
Harusi na misiba, hapa deal kwa wale watu wa karibu, usitoe kwa kila mtu
Mwanzoni ukiwa unakula nauli,huwezi tena kumrudia mzaziHadi nauli unabania unatembea. Mimi nilikuwa bingwa wa kusevu ile hela ya shule.