Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Jinsi ya kuweka akiba kwa wale tunaoanza maisha

Ungeoaa
Acha kabisa, juzi kati hapo nilienda ofisi za msaidizi kamishna wa ardhi kanda kufuatilia hati ya kiwanja, baada ya process za hapa na pale file langu likaletwa kumbe jamaa wa almashauri aliyekuwa anashughulikia kuna madocument Matatu wakili alisaini mawili moja akulisaini yakawasilishwa kanda hivyohivyo, kwahiyo wakaniambia hapo option ni kuandaliwa hizo document nyingine ili wampe wakili mwingine azisaini zote gharama 30,000 + ya huyo dada atakayechapa (kwa rate zangu angekula buku tuu[emoji16][emoji16]).
Nikamwambia hiyo gharama kubwa, akaniambia basi nikupe hiyo form ambayo haijasainiwa umpelekee wakili aliyezisaini, nikasema fresh tuu, nikawasha gari nikaipeleka huko almashauri ikasainiwa nikairudisha.
Lakini baadae nilivyopiga hesabu ya mafuta kwenda na kurudi almashauri ni kama 25,000/= ukiongeza na muda niliotumia nikagundua nilifanya biashara kichaa tuu.
Ungepanda daladala.
 
Shukran kwa mchango wako uliojaa hoja nzito,

Kuhusu swala la chumba nimesisitiza kiwe livable na pia kisiwe cha bei kubwa na ndo mana nikasema 10% ya kipato,
Kuhusu wanawake licha ya kuwa upo sahihi kwa mtazamo wako ila jamii yetu bado haijafika hio level, kwa hio tuanze kwa kuwapunguzia kwanza kuhonga mpaka hapo wataposhtuka hatuhongi tena

Kuhusu michango ya harusi naungana na wewe, ila kwenye kukwepa lawama ndo mana nimesema toa tu 10k usepe zako usibebe kadi unless ni mtu wa karibu

Yote kwa yote mchango wako ni mkubwa, na wenye madini ya kutosha ambayo mtu akiyafuata atakuwa bora zaidi na zaidi
Aisee una akili sana.
 
Kuweka akiba unafundishwa tokea utotoni
Nakumbuka nilipokuwa darasa la 4,unapewa hela ya wiki nzima sh 5,sh 10
Hapo kuna nauli yako nk,sasa ole wako usiende shule lazima uwe na majibu

Ova
 
Mimi nina mshahara wa 800k
Huu ndo mchanganuo wangu
1.200k house
2.200k usafiri na kula
3 100k natuma kijijini
4.100k savings
5.200k enjoyment
Hapo utatoboa kweli, maana hapo ni kusevu 12% ya kipato chako, wanashauri usevu 30%, vipi zaka na sadaka wapi?

home ya 800K ni pesa ndogo mno siyo ya kutumia 200K ktk enjoyment, assume ukiondolewa kazini ghafla, utaishije?
 
Ahahahahah daah ungempa 15k mbona ingekua chap tuu..
Mi ubahili upo kwa hawa viumbe hawa .
Ila kwa mambo mengine ni chap tuu kikubwa jambo liwe la maana kweli 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 wee ni over pro ahaha
Viumbe gani wakati wewe ni mwanamke
aka kausha damu
 
Mimi nina mshahara wa 800k
Huu ndo mchanganuo wangu
1.200k house
2.200k usafiri na kula
3 100k natuma kijijini
4.100k savings
5.200k enjoyment
Kwanini 100k isiwe entertainment na 200k savings?
 
Kukaa mbali na kazini, kama ni nyumba yako, ni muhimu sana kukaa kwako, choo chako na familia yako tu. Hakuna wa kukuchunguza unakula nini. Gharama ya nauli ni kubwa ila ungepanga utasumbuliwa na UTI mara kwa mara na ni gharama kutibu. Waswahili nao wapo kazini, magonjwa yasiyo na kichwa wala miguu. Nashauri usipange "kaa kwako".
 
Kuweka akiba unafundishwa tokea utotoni
Nakumbuka nilipokuwa darasa la 4,unapewa hela ya wiki nzima sh 5,sh 10
Hapo kuna nauli yako nk,sasa ole wako usiende shule lazima uwe na majibu

Ova
Hadi nauli unabania unatembea. Mimi nilikuwa bingwa wa kusevu ile hela ya shule.
 
Shukran kwa kuja,
Suala la chakula cha mchana unaweza beba, au ukaamua kununua ila pale unapopata chance pika msosi
Suala la demu nimesema uwe na demu mmoja tu, ko inabidi uhakikishe unaye mwenye sifa zako, sasa mkuu lodge hizi za 15K ukigonga mara 6 kwa mwezi ni 90k kwa mwaka ni 1.06M, huoni kama ni loss kubwa sana, na ukienda lodge jua mtanunua msosi tena wa gharama tofaut na geto ambako angepika ?
Harusi na misiba, hapa deal kwa wale watu wa karibu, usitoe kwa kila mtu
We jamaa unajua hesabu?
 
Hadi nauli unabania unatembea. Mimi nilikuwa bingwa wa kusevu ile hela ya shule.
Mwanzoni ukiwa unakula nauli,huwezi tena kumrudia mzazi
Ukamwambia mambo ya nauli nk
Kwa style hiyo lazima utajifunza kusave hela
Ndiyo namuambia mleta mada haya mambo yanaanzia utotoni kufundishwa

Ova
 
Back
Top Bottom