GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Hana mengi zaidi ya hayo kwa marehemuAliyemuelewa huyu mzee anisaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mengi zaidi ya hayo kwa marehemuAliyemuelewa huyu mzee anisaidie
unasahau kuwa ukitaka kumficha mtz kitu wewe andika kwenye kitabu, utamaduni wa kusoma tu hatunao. Huwezi kukuta kijana ana hobby ya kusoma vitabu novels, thubutu rika na kizaz cha kujua kutembea na viredio vya Bluetooth kuimba singeli. Sasa watathamin vipi waandishi il hali hata thamani ya kusoma tu hawaijui.Nasononeka sana nikiona kejeli na mzaha kwa mtu kmaa Mohamed Said.
Nimesoma kitabu chake cha Wakati na Maisha ya Abdulwahid Sykes na ni mtu anayejua anachokiandika.Kitabu kimeandikwa baada ya utafiti mkubwa (kupitia nyaraka katika maktaba za CCM/TANu,kuongea na watu mbalimbali )Si mwandishi wa hadithi.
Tafuta hicho kitabu kisome na utakuja kushangaa kuwa unafanya mzaha kwa mtu ambaye hata akiondoka ataacha kumbukumbu kubwa.
ha ha haaSio kawaida yake inaelekea alikuwa a nakimbilia mazishi I!!
Mlatinoh...Mzee said heshima yako, vipi unauonaje mwenendo wa taifa letu hasa kwa kipindi hiki ambacho ni 2020-2025 katika nyanja ya uchumi, kijamii na kisiasa!??
Nadhani mzee wangu ulichomaanisha ni kwamba mim nimekuuliza kitu ambacho hata Mimi nakiona na pengine hata kukiishi.Mlatinoh...
Kuna kisa cha mwendawazimu mmoja.
Huyu mwendawazimu alikuwa anafua nguo zake.
Jamaa akapita akamkuta mwendawazimu anafua basi akamuuliza, "Unafua?"
Yule mwendawazimu akamjibu kwa kumuuliza swali akamwambia, "Wewe huyaamini macho yako ndiyo utaamini kauli yangu?"
Uniwie radhi lakini naamini umeelewa.
Uzalendo...MZEE ulikusudia KUZUNGUMZIA habari za maisha ya Marehemu Subhash Patel au unataka kuelezea kuhusu UISLAMU???!!!!!
"movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza. Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu"
Uzalendo...
Labda nikuulize unatatizwa na lipi baina ya maisha ya Subash au Uislamu?
Huyu mzee Said, ALLAH amlipe hata umuongelee kashfa gani hakujibu kwa utashi wake Bali anatumia hekima na busara ya hali ya juu, hakika una kila dalili ya uislam unavotaka mtu aishi, wewe nishujaa Wangu hapa jukwaani sijaona mtu wahekima na elimu kama wewe hapa jukwaani, ALLAH akulipe duniani na akupe aghera piaEinstein...
Hapana neno kaka sote tumefurahi na kucheka Kijana wa zamani na kijana wa leo.
Abuu...Huyu mzee Said, ALLAH amlipe hata umuongelee kashfa Gan hakujibu kwautashi wake Bali a natumia hekma nabusara ya haliyajuu, hakika unakila dalili ya uislam unavotaka mtu aishi, ww nishujaa Wang hapa jukwaan sijaona mtu wahekma na elimu kama ww hapa jukwaan, ALLAH akulipe dunian na akupe aghera pia
Uzalendo..Sina shida na maisha ya Patel ila nina shida na namna unavyochanganya madesa kwa makusudi kwa kuongelea mambo yasiyo na uhusiano wowote na kichwa cha habari.
Habari za wewe kutazama Sinema inayohusu maisha ya Mtume Muhammad imeingiaje hapo kwenye mada yako?!
Unataka kuhusisha maisha yake na Uislamu? Au unakusudia nini hasa Mzee wetu?!
Aaamin mwalim WangAbuu...
Shukurani zote zinamstahikia Allah.
Ahsante ndugu yangu.
Kito...binafsi nmekuelewa mzee Mohamed Said umeandika kile unachokifahamu juu ya subhash patel, huna haja ya kuongezea zaidi maana itakuwa ni uongo sasa
Hata wabongo waliofanikiwa na bado hawajaacha utamaduni wao wapo....kuna wanaoabudu mizimu, wenye kufanya matambiko na wenye kushiriki uchawi na ushirikina....Kwa nini Waasia wanafanikiwa zaidi kuliko sisi Watanzania weusi ? Halafu hawaachi utamaduni wao ingawaje wala hawaishi India/Pakistani , ...
Mzee wangu nimekuona Azam safari channel. Miye nataka uzungumzie historia ya chuo kikuu cha waislam nani alikiomba na mwanzo wake.Andoza,
Ahsante sana.