Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
Kama zipi?Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Rwanda unaijua vizuri lakini? wana resources zipi?Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Nachojua ni kuwa DP inapingwa na wale wazee wa mailing pale bandari maa a uchumi wao ndip ulipo kwahiyo wanajaza sumuHoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Wao si wana akili watumie ni resources iyo aridhi yao ni ndogo ila wakitumia akili zao wanajikwamua kabisaKama zipi?
Namshangaa mimi Rwanda na Burundi kwa pamoja ni kama tuu kigoma na kagera japo nimewazidishia kidogoRwanda unaijua vizuri lakini? wana resources zipi?
Ardhi kidogo haiwatoshi mpaka wana invest population yao baadhi ya maeneo ya Karagwe na Muleba.
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Mtu anaweza kuwa na eneo dogo lakini likaleta good impact so watumie akili zaoRwanda unaijua vizuri lakini? wana resources zipi?
Ardhi kidogo haiwatoshi mpaka wana invest population yao baadhi ya maeneo ya Karagwe na Muleba.
Huyu Rwanda haijui vizuri naonaNamshangaa mimi Rwanda na Burundi kwa pamoja ni kama tuu kigoma na kagera japo nimewazidishia kidogo
Akikujibu nipo paleee........Kama zipi?
Akili sio resources, aridhNamshangaa mimi Rwanda na Burundi kwa pamoja ni kama tuu kigoma na kagera japo nimewazidishia kidogo
Jambo letu ilikuwa ni resources zao ambazo umesema hazitumiki.Mtu anaweza kuwa na eneo dogo lakini likaleta good impact so watumie akili zao
Wataukosoaje wakati washasema ccm lao mmoja mwenyekiti akileta waz hakuna kupinga si mliwachagua na mkawapa kura ndio wanakura sasaMaajabu ya bunge la Tz Yani ule mkataba hawakuukosoa hata kidogo!!??
mueleweshe huyo pimbiJambo letu ilikuwa ni resources zao ambazo umesema hazitumiki.
Maana ukiongelea population kama mojawapo ya resource.Namba ya wanyarwanda ni ndogo sana lakini pia katika udogo wao bado wanipiga hatua nzuri(kwahiyo hii resource imetumika vizuri)
Swali ni hili, ni resource hipi unayojua ipo Rwanda hajaweza kuitumia?
Cheap propaganda. Kwanini usimtafute Kagame mwenyewe ukaenda huko vichochoroni?." Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
Kwa faida yako tu wenzetu walishafikia hatua damu salama hupelekwa hadi zahanati za polini huko na drone.Wao si wana akili watumie ni resources iyo aridhi yao ni ndogo ila wakitumia akili zao wanajikwamua kabisa
Huko ndiko lilipoungua shoka mpini ukabaki!Ulipoenda DRC na kwenyewe walikwambia nini kuhusu DPW?.