Jioni ya leo nilikuwa DP World hapa kigali Mnyarwadwa kanicheka sana

Jioni ya leo nilikuwa DP World hapa kigali Mnyarwadwa kanicheka sana

hatujaingia mkataba ila HAYA ni makubaliano.mkataba Ni NINI na makubaliano Ni NINI MKATABA NI MAKUBALIANO KATI YA PANDE KADHAA ZINAZOHUSIKA,JINSI YA KUENDESHA/KUTIMIZA/KUSHUGHULIKIA JAMBO/ MAMBO WALIYOPANGA. WAWEZA KUWA makubaliano ya KUPANGISHA, KUKODISHA, KUUZIANA MALI, KUAJIRIWA,KUOANA,NK. Hauwezi kusema kuwa SIJAOGA ILA NIMEJIMWAGIA MAJI NA KUJISUGUA NA SABUNI.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hapa wapo msoga gang wapwani wanatuuza hivihivi watanganyika mmelala. Hiyo wanajimilikisha pote penye potential jamani. Madini,gesi,umeme,mafuta Ni kampuni zao tu
 
Habari bila picha/video clip dunia ya sasa sw na takataka tu
 
hatujaingia mkataba ila HAYA ni makubaliano.mkataba Ni NINI na makubaliano Ni NINI MKATABA NI MAKUBALIANO KATI YA PANDE KADHAA ZINAZOHUSIKA,JINSI YA KUENDESHA/KUTIMIZA/KUSHUGHULIKIA JAMBO/ MAMBO WALIYOPANGA. WAWEZA KUWA makubaliano ya KUPANGISHA, KUKODISHA, KUUZIANA MALI, KUAJIRIWA,KUOANA,NK. Hauwezi kusema kuwa SIJAOGA ILA NIMEJIMWAGIA MAJI NA KUJISUGUA NA SABUNI.
  • Ndio! Ni makubaliano yanayompa DP hati miliki ya kuwekeza kwenye BABDARI ZOTE ZA BAHARI NA MAZIWA TANZANIA BARA na maeneo yenye fursa za kimkakati bila kubugudhiwa MILELE. Ila wanasema sio mkataba.
  • Wapiga kelele OYEEE!!!
 
Alafu yeye huyohuyo Pk ndio kaja kutuingiza chaka
 
Nachojua ni kuwa DP inapingwa na wale wazee wa mailing pale bandari maa a uchumi wao ndip ulipo kwahiyo wanajaza sumu

Kingine ni kwamba mkataba bado aujawa wazi asilimia mia kuhusu uko na taratibu za kuvunja mkataba uho

Kile unachojua kieleze hapa Jamvini, upate kujibu hoja za Wanabodi.
 
" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunachekwa na mataifa jirani
 
Naujiliza maza ameusoma kweli huu mkataba hata kdg au Kitenge na Zembwela ndiyo wameusoma kwa niaba yake?
 
Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Unazungumzia fedha za misaada ,au nn?

Nilitarajia useme ,kwahiyo kipindi kile kagame alivosema apewe bandari ya DSM ,wangetucheka pia
 
" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
Sisi si wanyarwanda kama wao wameuza bandari zao siyo lazima na Tanganyika tufanye hivyo
 
" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom