Jioni ya leo nilikuwa DP World hapa kigali Mnyarwadwa kanicheka sana

Jioni ya leo nilikuwa DP World hapa kigali Mnyarwadwa kanicheka sana

" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"

" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"

" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"

" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."

Mnyarwanda.

NB: Bange/ Bunge.
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom