ishengoma kamuhanda
Senior Member
- Oct 2, 2016
- 136
- 116
Sasa wanashindwa kujenga lami Hadi vyooni kwenye hizo wilaya!?..watu 12m kila mtu akitoa buku mbili nchi nzima inatapakaa lamiNamshangaa mimi Rwanda na Burundi kwa pamoja ni kama tuu kigoma na kagera japo nimewazidishia kidogo
Jibuni hizo hojaNachojua ni kuwa DP inapingwa na wale wazee wa mailing pale bandari maa a uchumi wao ndip ulipo kwahiyo wanajaza sumu
Kingine ni kwamba mkataba bado aujawa wazi asilimia mia kuhusu uko na taratibu za kuvunja mkataba uho
Exactly, hadi sasa hawajaweza kujibu hoja hata moja, zaidi ni mipasho tuThamani ya Bandari ya Daisalamu ematathiminiwa na wataalamu wakajua ni kiasi cha Matirilioni ya shilingi ngani? Na hiyo thamani yake itumike kama mtaji wa kuendesha ubia na mwekezaji kwa win win mazingira ya.
Hapa wapo msoga gang wapwani wanatuuza hivihivi watanganyika mmelala. Hiyo wanajimilikisha pote penye potential jamani. Madini,gesi,umeme,mafuta Ni kampuni zao tuHoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
hatujaingia mkataba ila HAYA ni makubaliano.mkataba Ni NINI na makubaliano Ni NINI MKATABA NI MAKUBALIANO KATI YA PANDE KADHAA ZINAZOHUSIKA,JINSI YA KUENDESHA/KUTIMIZA/KUSHUGHULIKIA JAMBO/ MAMBO WALIYOPANGA. WAWEZA KUWA makubaliano ya KUPANGISHA, KUKODISHA, KUUZIANA MALI, KUAJIRIWA,KUOANA,NK. Hauwezi kusema kuwa SIJAOGA ILA NIMEJIMWAGIA MAJI NA KUJISUGUA NA SABUNI.
hata apo wamezitumia sana Rwanda imejengeka sana pia elimu yao ni bora.Mtu anaweza kuwa na eneo dogo lakini likaleta good impact so watumie akili zao
Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Nachojua ni kuwa DP inapingwa na wale wazee wa mailing pale bandari maa a uchumi wao ndip ulipo kwahiyo wanajaza sumu
Kingine ni kwamba mkataba bado aujawa wazi asilimia mia kuhusu uko na taratibu za kuvunja mkataba uho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunachekwa na mataifa jirani" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
NB: Bange/ Bunge.
Kama zipi, fafanuaWao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Unazungumzia fedha za misaada ,au nn?Wao mbona weshindwa kutumia resources zao vizur atuchekani mbona
Sisi si wanyarwanda kama wao wameuza bandari zao siyo lazima na Tanganyika tufanye hivyo" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
NB: Bange/ Bunge.
Tuwaige Banyarwanda.RUSHWA MWIKO NA UKIGUNDULIKA JELA AMA UNAPIGWA CHUMA
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
NB: Bange/ Bunge.
Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."" Mtz mwiriwe neza. Sasa nyie Watz akili zenu ni za namna gani bhana?! Ile siku bange (bunge) yenu imepitiza ile contract sisi wote tuliwacheka sana!"
" Mvaa ( yaani wewe ) uliona wapi hiyo mambo ya kuwapatia hii mtu ocean yenu iwe ya kwao? Mzee (Kagame) asingekubali hiyo mambo kabisa kabisa!"
" Tz mko na kila kitu kasoro akili yenu haiko sawa kabisa!"
" Anyway, urakoze cyane unanipatie mchele i numero ya mbele kabisa wangye."
Mnyarwanda.
NB: Bange/ Bunge.