Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Acha ubishi,wapo wengi tu mbona kina mak juice na zanana juice wana degrees ila wanauza juice?? Tena mak juice aliacha kazi benki na kuamua kuanza kuuza juice ila angalia alipofikia kwa sasa... Uoga wako umasikini wakoAcha kudanganya watu ww, hizo ni ndoto za mchana hakuna aliyetoboa kwa kazi hizo
Kesho nikipata muda nilaleta ya jamaa mpiga Debe na Amepiga chuo.
mtashangaaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila usije tu ukaitia chumvi zaidi!Kesho nikipata muda nilaleta ya jamaa mpiga Debe na Amepiga chuo.
mtashangaaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho nikipata muda nilaleta ya jamaa mpiga Debe na Amepiga chuo.
mtashangaaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini wengi tanzania wana akili kama yako.Acha kudanganya watu ww, hizo ni ndoto za mchana hakuna aliyetoboa kwa kazi hizo
Mimi nataka kufundishwa. Nimeelimika na mada. Ni vzr kitu kama unaona hakikufai ukipotezee. Wengine hii elimu inatufaa. Hatufanani.Sijui nani kakwambia jamii forum kuna watu wana shida za kujua maisha ya watu na jinsi wanavyopata riziki.
Kwani huko mitaani hamna ndugu au watu wa kawaida uwafundishe haya mambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea Jukwaa nazani unazania uko kwenye jukwaa la.mapenzi na kupendana.Kule ndo uwanja wako wa nyumbani.Sijui nani kakwambia jamii forum kuna watu wana shida za kujua maisha ya watu na jinsi wanavyopata riziki.
Kwani huko mitaani hamna ndugu au watu wa kawaida uwafundishe haya mambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa nilijua mtakuja kupinga.Hizi hesabu za 30000×30=900000
Sidhani ziko zote ulimwenguni ni jumatatu
Sent using Jamii Forums mobile app
So hivyo mkuu ni Hali halisi makadirio yanayofanyika mara nyingi ni assumptions tu,kila siku mtu aingize elfu thelathini bila loss yoyote
Nilieleza pale kwamba some time kuna loss na hupata chini ya hapo los zipoSo hivyo mkuu ni Hali halisi makadirio yanayofanyika mara nyingi ni assumptions tu,kila siku mtu aingize elfu thelathini bila loss yoyote
Mheshimiwa maisha hayako hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini unafanya jambo zuri kuelimisha kwa kutumia mifano ni jambo zuri keep going mkuu,Nilieleza pale kwamba some time kuna loss na hupata chini ya hapo los zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli tupu mkuu, uoga wako ndo umaskini wako na ndio maana mie mchumba wangu nimemzoesha kukaa kwenye duka langu la kuuza majeneza!Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.
Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.
Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.
Themos 15 x 8 ni vikombe 120.
Vikonbe 120 x 500= 60,000/
Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/
Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.
30,000/ x siku 30= 900,000/
kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.
Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.
NB: Dada kasomea Procurement.
AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.
Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Emu tuambie hizo kuku unazofuga zimekupa mafanikio gani mpaka leo kama sio kunywa uji wa 500[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]