Jioni ya leo nina furaja kukutana na Dada mpika Uji

Jioni ya leo nina furaja kukutana na Dada mpika Uji

We jamaa ulivyoleta thread ya mchoma mahindi watu tulikuchukulia upo serious na unachoongea. Lakin kumbe umeamua kuzingua watu, no body will take you serious from now on. Ukimaliza thread ya muuza uji, uje tena na thread ya graduate muuza maji ya kandoro.
 
naona kaka umeamua kuwaamsha vijana kwa nguvu zote..

mimi siku hizi graduate akiniambia hana kazi na hana nauli au hela ya soda huwa namtukana moyoni na huwa namuona chizi tu
Usifanye hivyo mkuu waelimishe tu elimu ya chuo imewaathiri...mie wananishangaa ninavyouza mashuka na juice mtaani

love thé love or hâte thé love.....
 
chasha nimekuelewa sana..endelea kutumotivate vijana..
huyo dada akikazana anaweza fungua mgahawa mbeleni.
mafanikio sio lazima uanzie na mtaji wa million..
na uoga ndo unatufanya tushindwe kusonga..mimi kweli sitoona aibu..na watashuhudia mafanikio yangu
 
Tatizo lako wajifanya mjuaji, kisa umekutana na hao wachache wanaofanya tofauti na walichosomea usidhani wengi wanafanya kile ambacho hawakusomea
Unatafuta nini kwenye post za mjuaji? anzisha zako basi unashinda kwenye post za mjuaji unatafuta nini?

Kila nikianzisha Post lazima uwe wa kwanza kuchungulia. achana nazo kama hazikufai dili na zinazo kufaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu ww, hizo ni ndoto za mchana hakuna aliyetoboa kwa kazi hizo
Hahah unatoboa kwa kua na yad ya kuuza magari au kua na hardware ndo utatoboa?
Basi kwanini akina bakhresa na akina Mengi kwanini wasingeanza na kujenga maviwanda makubwa ndo watoboe au Mengi wakat ana hustle kwanini asingeanzisha itv
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Comrade uko vizur kwenye tafit zako nimependa
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nikipata muda ntakuletea ya muuza kahawa mmoja,mafanikio ni kujitoa na kua na juhudi

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo inamaana afanye kazi kila siku no likizo wala kuumwa.
Je akiba ya uzeeni anajiwekea na vp kuhusu bima ya afya? Bora niendelee kuvaa tai tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muuza uji mmoja hapa Mbeya wallahi akikuuzia uji lazima uombe namba
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Masanja aliwahi kudanganya watu hivi hivi kuwa ukiwa na laki 5 tu ukakodi shamba na kulima matikiti maji baadaya ya miezi 3 ukiuza unapata faidi ya milioni 6.....hapo umetoa gharama zote...kuna vijana walikopa wengine wakaacha kazi za laki 3 hizi wakajichimbia morogoro..hahahahaa.....waulize saivi wako wapi walipigwa joto la jua balaaaaaa hwana hata senti 5 maisha yamewachapa hatari
 
Masanja aliwahi kudanganya watu hivi hivi kuwa ukiwa na laki 5 tu ukakodi shamba na kulima matikiti maji baadaya ya miezi 3 ukiuza unapata faidi ya milioni 6.....hapo umetoa gharama zote...kuna vijana walikopa wengine wakaacha kazi za laki 3 hizi wakajichimbia morogoro..hahahahaa.....waulize saivi wako wapi walipigwa joto la jua balaaaaaa hwana hata senti 5 maisha yamewachapa hatari


Ndo hizi mnatumiaga kama Ngao.

Waziri akiwaambia jiajiri mnaanza oo mbona yeye kaajiriwa? Mbona yeye hajaanzisha biashara?

Fuata ujumbe achana na mtu.

Ukiambiwa na Waziri jijiri usianze kwamba yeye mbona kaajiriwa?

HIZI HUWA SABABU ZA WENGI KUHALALISHA AIBU NA UOGA WAO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema mhitimu kuwa na uwezo wa kutengeneza ajira yake itakayomfanya ajipatie kipate, lakini serikali na jamii kwa ujumla tuna shida kubwa, kama tunafikia hatua ya kushindwa kukabiliana na tatizo la ajira kwa kiasi hiki ni hakika elimu yetu haina maana kabisa, leo mtoto atapata hamasa wapi ya kutumia muda wake kujifunza vitu ambavyo katika maisha yake hatovitumia kuyakabiri mazingira yake, Kama taifa na jamii kwa ujumla tunaendelea siku hadi siku kuonyesha dhahili kiwa elimu haina maana kabisa, na huyu dada muda wote alioutumia chuo umepotea bure kwasababu kama angeamua kuanza hii biashara mapema basi angekuwa mbali sana.
Kwanza tambua dhima kuu ya Elimu duniani pote haijawah kua Ajira kumfanya mtu aajiriwe dhima ya Elimu ni kumpa mtu maarifa swala la ajira ni dhumuni binafsi
 
Kuna mwingine nimemsikia asubuhi kwenye radio yuko mwanza yeye kamaliza chuo education yeye anafanya kazi ya kuosha magari...
 
Vijana wengi wanawaza kuajiriwa na kufikiria whitecolar jobs ila wakifika uzeeni wanajigundua ni masikini wa kutupa walishinda wakiuza muda wao.
Huyu dada anafanya kazi kwa masaa machache tu kwa siku tena ni boss wa kazi yake mwenyewe ila anaetumikishwa na kufokea na kuamka asbh asbh kukimbizana anakejeli.

Mungu wabariki Vijana na waepushe na Utumwa wa Fikra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom