Jioni ya leo nina furaja kukutana na Dada mpika Uji

Kuna jamaa kasoma education ni dereva wa boda boda
 
Hilo ni tatizo serikali ichukue hatua la sivyo hakuna umuhimu wa kusoma hadi chuo then uje ufanye kazi ambayo ungeweza kuifanya hata baada ya kumaliza form four
Sio jukumu la Serikali pekee ni jukumu pia la mhitimu.

Unategenea kama kwa sasa walimu wa Art wamejaa mashuleni unategemea nini?

Kuwaza nje ya Box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio jukumu la Serikali pekee ni jukumu pia la mhitimu.

Unategenea kama kwa sasa walimu wa Art wamejaa mashuleni unategemea nini?

Kuwaza nje ya Box

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni jukumu la kila mtu lakini kumbuka kazi ya serikali ni kusimamia sera zake kama sasa watu wanasoma then wanaishia kuwa wapika uji or wachoma mahindi na waoasha magari hapo sera ya yetu ya elimu ina matatizo na haimuandai muhitimu kuwa na upeo wa kujiajiri katika fani aliyosomea
 
Okay by the way naomba kumuuliza mtoa mada,hizi kazi mnazozishangaa za kuchoma mahindi,kuuza uji na kupiga debe mnataka zifanywe na watu wa aina gan labda?kwa upande wangu naona ni biashara inaweza ikafanywa na tu yeyote haijalishi una kiwango gan cha elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nataka kufundishwa. Nimeelimika na mada. Ni vzr kitu kama unaona hakikufai ukipotezee. Wengine hii elimu inatufaa. Hatufanani.
Na hii mada ipo jukwaa la biashara. Ukitaka aongelee mambo gani?
ina maana mpaka kuuza uji unataka ufundishwe?
ina maana miaka yote ulikuwa umekaa tu haufanyi kazi?
Huyu jamaa ndo amekufundisha ufanye kazi?acha akili za kushikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nataka kufundishwa. Nimeelimika na mada. Ni vzr kitu kama unaona hakikufai ukipotezee. Wengine hii elimu inatufaa. Hatufanani.
Na hii mada ipo jukwaa la biashara. Ukitaka aongelee mambo gani?
Hapo sasa,afadhali umenijibia na mie...kuna watu vilaza sanaa
 
Habari ziwafikie wavaa tai na milegezo
 
Hilo ni tatizo serikali ichukue hatua la sivyo hakuna umuhimu wa kusoma hadi chuo then uje ufanye kazi ambayo ungeweza kuifanya hata baada ya kumaliza form four
Aliyemaliza chuo na aliyemaliza chuo wote wanauza uji ila kuna tofauti katika uuzaji..

love thé love or hâte thé love.....
 
Safi mkuu anza na wewe kiwonder chako cha kutengeneza Uji>
 
Mkuu hii ni mada nzuri kabisa, wapite wote wanaotaka ajira na wenye kuogopa kufanya maamuzi. Adui mkubwa wa mafanikio kufanya maamuzi, ukiogopa maneno ya watu wengine. Heri yake dada wa uji, alishafanya maamuzi na sasa hana anachoogopa yupo huru, neno lilisema utaijua kweli na kweli itakuweka huru.. Hongera kwa kumleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…