Unajua hadi Ma Dakitari wako mtaani? achilia mbali kada zingine.Yaani unasomea procurement ili uje kuuza uji?
Hilo ni tatizo serikali ichukue hatua la sivyo hakuna umuhimu wa kusoma hadi chuo then uje ufanye kazi ambayo ungeweza kuifanya hata baada ya kumaliza form four
Sio jukumu la Serikali pekee ni jukumu pia la mhitimu.Hilo ni tatizo serikali ichukue hatua la sivyo hakuna umuhimu wa kusoma hadi chuo then uje ufanye kazi ambayo ungeweza kuifanya hata baada ya kumaliza form four
Yah ni jukumu la kila mtu lakini kumbuka kazi ya serikali ni kusimamia sera zake kama sasa watu wanasoma then wanaishia kuwa wapika uji or wachoma mahindi na waoasha magari hapo sera ya yetu ya elimu ina matatizo na haimuandai muhitimu kuwa na upeo wa kujiajiri katika fani aliyosomeaSio jukumu la Serikali pekee ni jukumu pia la mhitimu.
Unategenea kama kwa sasa walimu wa Art wamejaa mashuleni unategemea nini?
Kuwaza nje ya Box
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia kuwa tumeshangaa hadi useme mtashabgaa zaidi mbona kawaida sanaKesho nikipata muda nilaleta ya jamaa mpiga Debe na Amepiga chuo.
mtashangaaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
ina maana mpaka kuuza uji unataka ufundishwe?Mimi nataka kufundishwa. Nimeelimika na mada. Ni vzr kitu kama unaona hakikufai ukipotezee. Wengine hii elimu inatufaa. Hatufanani.
Na hii mada ipo jukwaa la biashara. Ukitaka aongelee mambo gani?
Au usikute yuko mjini anaishi kwa shemeji yake anakula na kulala bure....Na si ajabu ukakuta jamaa mwenyewe hana mbele wala nyuma halafu anapinga tu.
Tulia we kuku. Acha nipambane na hali yangu, pambana na yako!ina maana mpaka kuuza uji unataka ufundishwe?
ina maana miaka yote ulikuwa umekaa tu haufanyi kazi?
Huyu jamaa ndo amekufundisha ufanye kazi?acha akili za kushikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa,afadhali umenijibia na mie...kuna watu vilaza sanaaMimi nataka kufundishwa. Nimeelimika na mada. Ni vzr kitu kama unaona hakikufai ukipotezee. Wengine hii elimu inatufaa. Hatufanani.
Na hii mada ipo jukwaa la biashara. Ukitaka aongelee mambo gani?
Aliyemaliza chuo na aliyemaliza chuo wote wanauza uji ila kuna tofauti katika uuzaji..Hilo ni tatizo serikali ichukue hatua la sivyo hakuna umuhimu wa kusoma hadi chuo then uje ufanye kazi ambayo ungeweza kuifanya hata baada ya kumaliza form four
Huyu amejitambua kuwa alibugi kusomea Procurement ambayo haina ajira kuanzia nyumbani hadi serikalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ni mada nzuri kabisa, wapite wote wanaotaka ajira na wenye kuogopa kufanya maamuzi. Adui mkubwa wa mafanikio kufanya maamuzi, ukiogopa maneno ya watu wengine. Heri yake dada wa uji, alishafanya maamuzi na sasa hana anachoogopa yupo huru, neno lilisema utaijua kweli na kweli itakuweka huru.. Hongera kwa kumleta.Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.
Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.
Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.
Themos 15 x 8 ni vikombe 120.
Vikonbe 120 x 500= 60,000/
Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/
Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.
30,000/ x siku 30= 900,000/
kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.
Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.
NB: Dada kasomea Procurement.
AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.
Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.
Sent using Jamii Forums mobile app