Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
-
- #781
Gharama ww unachangia 5000tu mana kutuma mzigo mwanza shinyanga songea namikoa mingine yakanda ya ziwa huwa wanachaj hela nyingi kusafirisha kuliko mikoa mingineasante kwa majibu murua.
bila shaka gharama za usafiri pia ni zenu
nitamtafuta ndugu yangu nione namna ya kuwafikia
Nisehem ya mawazo yako kwakuwa wanunuaji wapo humu watakupa majibu wenyewe huwa unapo wasilisha mawazo uwe na evidencekariakoo mimi huwa nanunua electronics kwa authorized dealers tu, maduka mengi hapo ni kanjanja
Bidhaa ganiBrand gani?
Ya mkono au ile ya stimingMna hair drier?, kama zipo mnafanya bei gani?
Kwahyo mnauzia vitu stoo.. Ili kukwepa kodi siyo?Hapo hapo ulipo fika ulikutana navijana wengi hapo tupo hapo siunajua frame za Kariakoo zilivyo mkuu mm sikuepo ila vitu huwa vipo store na vigum mtu kukuelewesha kaka kama ulikua huna miadi nae kuna Dada alikuja kununua air cooler nililiondoka muda ule kama atapitia post atatoa ushahidi
Umeelewa nilicho kiandika mkuuKwahyo mnauzia vitu stoo.. Ili kukwepa kodi siyo?
sijaelewa labda unifafanulie..Umeelewa nilicho kiandika mkuu
Basi amini unacho kiaminisijaelewa labda unifafanulie..
Sawa mkuu.. Taarifa zimefika.Basi amini unacho kiamini
So nc'
Home theater sonny watt 1000
Bluetooth flash FM radio
Price 900,000
Karibu takupunguzia piaSo nc'
Nchi ngapi unatakaWeka pinetech picha za aina nyingine na deki za Tv pamoja na bei zake mkuu sorry kwa usumbufu
Ile ya stiming ya kuvaa kichwaniYa mkono au ile ya stiming
LG ya 5 speakers ndefu zinapatikana? Bei ikoje? Mikoani mnatuma?
Home theater lg new model 2017
Watt 400
Price 380,000