INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

asante kwa majibu murua.
bila shaka gharama za usafiri pia ni zenu
nitamtafuta ndugu yangu nione namna ya kuwafikia
Gharama ww unachangia 5000tu mana kutuma mzigo mwanza shinyanga songea namikoa mingine yakanda ya ziwa huwa wanachaj hela nyingi kusafirisha kuliko mikoa mingine
 
kariakoo mimi huwa nanunua electronics kwa authorized dealers tu, masuka mengi hapo ni kanjanja
 
kariakoo mimi huwa nanunua electronics kwa authorized dealers tu, maduka mengi hapo ni kanjanja
 
Hapo hapo ulipo fika ulikutana navijana wengi hapo tupo hapo siunajua frame za Kariakoo zilivyo mkuu mm sikuepo ila vitu huwa vipo store na vigum mtu kukuelewesha kaka kama ulikua huna miadi nae kuna Dada alikuja kununua air cooler nililiondoka muda ule kama atapitia post atatoa ushahidi
Kwahyo mnauzia vitu stoo.. Ili kukwepa kodi siyo?
 
9f121f35e2479e726f3ca18c0f3391ec.jpg

Home theater sonny watt 1000
Bluetooth flash FM radio
Price 900,000
So nc'
 
Weka pinetech picha za aina nyingine na deki za Tv pamoja na bei zake mkuu sorry kwa usumbufu
 
Si wengine sio wataalam bro ila nlikusudia pinetech zenye muonekano tofauti na hiyo na bei inayofanana au chini ya apo na deki za kawaida tu za Tv
 
Back
Top Bottom