Nakwambia hy Samsung ninayo kupa usede UK inakilakitu ipo kwenye hali nzuri na Hy radio nimekufanyia 90 mkuu nimekufanyia staff seriouslyKwaiyo umenikubalia coz cjakuelewa vzur
Hamna za kuanzia 60 mkuuHy 95000 bei ya mtanzania
Mkuu hakuna Ongeza 20 nikuuzieHamna za kuanzia 60 mkuu
Nitumie picha yake niione iyo usede uk
HapanaUna external za terabyte 2 na zaidi? Kama zipo nipe na bei.
Usijali mkuu Utapata Mr nafuu nipo kwajili yenuHamna za kuanzia 60 mkuu
Chukua ouling mkuu au pinetech mkuu ni nzuri Labda nikupe sifa za oulingNimeiona usede uk ila cjaipenda kama ile sumsung kwavile iyo biashara naheshim bei yako kama ntapata bei unayotaka tutafanya biashara
Ilo kwangu sio tabu kama utanilipia usafiri wakuja na kurudi nikukute msamvu mkuu japo wasiwasi ndio akili lakini sio rahisi kukufanyia unavyo dhaniOk! Nimekuelewa mi nko morogoro naipata kwani changamoto nliyonayo ni kua cna mtu wa kumuamini nkampa pesa,vp unaweza kuniletea afu nikakulipa uku uku?
Wasiwasi kwako mm hy ni sehem ya kazi kwangu nivema pia ukifanya asubuhi mana kesho asubuhi na mizigo yakutuma korogwe kwhy ingekuwa vizuri asubuhi kbla sijaondoka niunganishe nawakoNimekuelewa mkuu nikishaenda ntakupa taarifa ili utume mzigo coz namba yako ya simu ninayo kila kitu kitakaa sawa inshaallah