INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Kwaiyo umenikubalia coz cjakuelewa vzur
Nakwambia hy Samsung ninayo kupa usede UK inakilakitu ipo kwenye hali nzuri na Hy radio nimekufanyia 90 mkuu nimekufanyia staff seriously
 
Hy 95000 bei ya mtanzania
abdebbcf0a80a2139b00e58022d69eea.jpg
Hamna za kuanzia 60 mkuu
 
Nimeiona usede uk ila cjaipenda kama ile sumsung kwavile iyo biashara naheshim bei yako kama ntapata bei unayotaka tutafanya biashara
 
Etiii LED TV za startimes zina decoder hapo hapo..... nauliza kuwa hizo decoder zinashika chennel za ndani(local channel)...?
 
Nimeiona usede uk ila cjaipenda kama ile sumsung kwavile iyo biashara naheshim bei yako kama ntapata bei unayotaka tutafanya biashara
Chukua ouling mkuu au pinetech mkuu ni nzuri Labda nikupe sifa za ouling
Ouling ina screen protector kioo kigum pia inapicha nzuri kama Samsung na ina warant miaka miwili Kama Samsung ouling nzuri pia wala hutojuta kuimiliki nakwambia ukweli wala sio maneno ya biashara
 
Ok! Nimekuelewa mi nko morogoro naipata kwani changamoto nliyonayo ni kua cna mtu wa kumuamini nkampa pesa,vp unaweza kuniletea afu nikakulipa uku uku?
 
Ok! Nimekuelewa mi nko morogoro naipata kwani changamoto nliyonayo ni kua cna mtu wa kumuamini nkampa pesa,vp unaweza kuniletea afu nikakulipa uku uku?
Ilo kwangu sio tabu kama utanilipia usafiri wakuja na kurudi nikukute msamvu mkuu japo wasiwasi ndio akili lakini sio rahisi kukufanyia unavyo dhani
 
OK usisumbuke kama uniamini nenda kwenye ofisi za bm au hood au alysaid wakupe namba za cm ofisi zao za dsm uwape maelekezo ya mzigo mm taupeleka mzigo ubungo hauta rusha pesa mpk huyo ulie mpigia cm ofisini akubali kuwa ndio huo
 
Nimekuelewa mkuu nikishaenda ntakupa taarifa ili utume mzigo coz namba yako ya simu ninayo kila kitu kitakaa sawa inshaallah
 
Nimekuelewa mkuu nikishaenda ntakupa taarifa ili utume mzigo coz namba yako ya simu ninayo kila kitu kitakaa sawa inshaallah
Wasiwasi kwako mm hy ni sehem ya kazi kwangu nivema pia ukifanya asubuhi mana kesho asubuhi na mizigo yakutuma korogwe kwhy ingekuwa vizuri asubuhi kbla sijaondoka niunganishe nawako
 
Back
Top Bottom