INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Mkuu home theatre ya son watt 250,300-350 naomba kujua bei zake au kama zaidi ila isizidi watt 1000
 
Mkuu home theatre ya son watt 250,300-350 naomba kujua bei zake au kama zaidi ila isizidi watt 1000
W300 takufanyia 300,000 spika ndogo 5 na w350 takufanyia 350,000 spika ndogo 5 ni LG na Sonny
 
1aae371f491bd16549f5dbdf2295bb5a.jpg
c4a558df07408fd90ba746d581d54f57.jpg

Wakuu mwanza nyegezi mizigo yenu inaingia kesho saasita usiku bus kampuni Zuberi
 
0e35ec4c93b14b29b6a80db864a6e634.jpg

Starx nchi55 warant 2 years Led bei Sawa na bure
Price 1300,000
 
318415a774ba7e282756a8e1f92f9f62.jpg

Fan ya kisasa unaweza kuiweka popote na inabebeka ina hamishika pia kubwa na ina upepo mzuri
Price110,000
 
467c02d3e6c4def8b487dcbc8d5be173.jpg

Ni feni ya ukutani yenye mfumo wa air cooler unaweka maji au barafu ina upepo mzuri kama AC
Price 180,000
 
37828c0c8bc762f5bfcbbfb2fb03e053.jpg
AC inayo tembea ni fan ya kisasa yenye mfumo wa air cooler Unaweka maji lita 20+ inatoa upepo wa AC huna haja ya kuwa na AC hii unaweza kutumia popote price 430,000
 
aba0e8834a0285411f9ec9dda9af71eb.jpg

Fane ya kisasa zaidi Unaweka maji baridi kama AC
Price 260,000
 
04da53ff9fcc0063c33432e2c395f769.jpg
Ni brenda ndogo kwajili ya kusagia vitu vigumu
Price 95,000
 
Mkuu hii kwa bei ya mwisho unapokea shilingi ngapi?

Niko kijijini huku, lakini nilikuwa naomba unisaidie kuwapelekwa wajuu zangu Tunduru, wataipataje?
Tuna tuma popote Tanzania mkuu kwahilo usijali ila zinafikia stend ww ndio unaifata stand mkuu bei hy takufanyia hy mana kwenye kutuma huwa tunabanwa kulingana na thamani ya mzigo mkuu ili hata ukipotea wawajibike kulipa mkuu
 
Back
Top Bottom