Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Mkuu nauliza zile baiskeli za mashindano hasa za kuinama

Sent from my SM-P585 using Tapatalk
 
Hii ikoje inafananaje?
.
images.jpeg
1581350610473.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nahitaji pikipiki ya matairi ma3 ya kupanda watu wawili, dereva na abiria angalau mmoja.
 
Mkuu nahitaji set inayokuwa Na jack ya umeme, mashine yakufungulia nut za tairi ya umeme, Waya ya kuboost gari Na kimashine chake Na vitu vingine vitakavyokuwa humo. Nimeziona alibaba nadhani utakuwa umenielewa. Asante


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Habari mkuu natafuta fuso tani saba ya mizigo inaweza kufika hapa kwa bei gani?
 
Nataka kujua bei ya fuso kila kitu hadi nakuja kuchukua hapo kwenu itakua bei gani?
 
Habari natafuta Generator la KVA 5 mtumba la petrol Kawasaki Honda Suzuki hata Robin nipe na bei
 
Nicheki 0762027102 kuhusu YAMAHA KEYBOARDS

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nataka ORGAN ile systerm yenye full pedal na sio PORTABLE KEYBORDS na kwa kuwa vipo vya aina nyingi na kila kimoja kimetengenezwa kwa madhumuni tofauti zikiwa na sauti na ngoma tofauti mimi ninahitaji hizo EL 90, 900 ama ELS
 
Back
Top Bottom