LAMADI Fright Forwards Co LTD kwakushirikia na Digxam.com inakuletea minada ya online kila siku.
Kuwa mshindi Bid ,Nunua ,Toa offer, Bidhaa ziko nyingi sana mfano
1. Pikipiki za aina zote,
2. Mgari ya kutaka vipuli
3. Laptop
4. Desktop
5. Simu
6. Camera Lens
7. Vifaa vya kilimo trekita Pawatira Green House
8. Vifaa vya maofisini kama printer Meza nk
9. Vifaa vya matumizi ya nyumbani Mafriji Mashine za kufulia nguo Majiko
ya Ges nk
10. Vifaa vya ujenzi wa barabara na miradi mbali mbali kama Rolla Graders
Excavators
11. Magari
12. Vipuli
13. Mashine za kushona nguo za Juki Brother Singer Mitsubishi Toyota
14. Vifaa vya Gereji Mashine za kubadilisha Matairi Jeck za kunyanyua magari
Compressor
15. Majenereta
16. Saa za mkononi
17. Work stations
18. Music kama Vinanda , DVD, amplifier
19. Mabegi ya Mtumba
20. Vifaa vya mahospitalini
21. Vifaa vya uvuvi ziwani na baharini Boat Engine za Boat Meli
22. Nanyingine nyingi
Jinsi ya kujisajili kwenye website yetu
1. Fungua ukurasa wetu wa tovuti
2. Kisha weka jina la kutumia
3. Unaweka nyuira yako (Password)
4. Unabonyenyeza kitufe cha kutuma
5. Unaingia kwenye barua pepe
6. Utakua user name na( password )
7. Hakikisha unajaza taarifa zako zote pamoja na namba ya simu
Jinsi ya kushiriki kwenye Minada
1. Kujisajili kwenye webite yetu
2. Kuweka salio kwenye Acount yako
3. Ku bidi
4. Kutuma offa
5. Kununua moja kwa moja
Ukisha shinda mnada au kununua mizigo wako
Utatumiwa ujumbe kwa njia ya barua pepe kuwa umefanyikiwa kununua kitu Fulani
Utatumiwa traking namba
Ingia kwenye ukurasa wa tracker weka namba yako kujua position ya Mzigo
wako.
Mzigo wako utaandaliwa na kupakiwa kwenye container ,RORO,Ndege,au
EMS
Mzigo unachukua muda wa miezi miwili hadi mitatu kufika Dar es Salaam
kwanjia ya Container
Kwanjia ya Ndege na EMS week moja
Kama mzigo unatakiwa kusafirishwa kwenda mikoani kuna gharama za usafiri baada ya mzigo kufika offisini kwetu garama zitatozwa kulinga na ubali.
Utapataje bidhaa ambazo hazipo kwenye website yetu
1. Login
2. Fungua ukurasa wa foram
3. Tuma hitaji lako
4. Tuma na picha kama unayo au namba
5. Ngoja majibu
Kuna aina mbili za minada
1. Minada ya kila siku
2. Minada ya live kupitia YouTube facebook na kwenye website yetu
Ku bid nikupitia kwenye website tu kwingine ni kama maonyesho tu
3. Wanunuzi wa jumla mfano spare za used za Magari watapangiwa mafungu
watapewa list aina gani za spare zipo kwenye fungu na aina ya gari , Njia
mtatangaziwa siku tatu kabla ya mnada.
Njia za usafirishaji wa mizigo
1. Ndege
2. Container (Mizgo mchanganyiko)
3. RO RO (Magari na Bulk Cargo)
4. EMS (Parcels)
Ratiba ya Usafiri
1. Kila mwezi Container moja
2. EMS kila siku
3. Ndege kila siku
Fee zetu.
1. Ukipokea mzigo wako mwenyewe utalipa 2% ya bei
2. Ukiletewa nyumbani utapewa invoice kulinga na umbali .
Jinsi ya kuweka salio kwenye Acount yako kwenye website yetu
1. Utapewa namba ya wakala
2. Unaweza kuleta cash ofisini
3. Unaweza kutumia PayPal
4. Unaweza kutuma Japan
Biashara zote lazima zifanyike kupitia kwenye website ya Digxam.com Kwa maelezo zaidi tutembele kwenye ofisi yetu iliko Tabata Bima shuka kituo cha Bima uliza LAMADI Freight Forwarders Co. LTD utaelekezwa. Au piga simu ya kiganjani +255-764-837-757 Au wasiliana noja kwa moja Japan piga +81-90-1733-7447
Share nawenzako Taarifa hizi, ukipokea mzigo wako toa maoni yako changamoto zozote utakazo kumbananazo au bila changamoto nenda kwenye ukurasa wetu wa Testimonial Share na wenzako ilimradi maoni yako yasiwe ya kuposha .