Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hiiMkuu kuna wind turbines kwa matumizi ya nyumbani?
1.Picha na bei yake
2.kiwango cha umeme inaozalisha
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Sawa baadhi ya vifaa bei zinajulikana baada ya mnda kuisha vema ukaingia kwenye website ukaangalia current BidMkuu kuna wind turbines kwa matumizi ya nyumbani?
1.Picha na bei yake
2.kiwango cha umeme inaozalisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Heavy Crane ya Tan 10Mkuu namba 2 sijakupata vizuri
Mkuu machine ya D6 nayo bado mbichi ni pm nikupe maelekezoHabari mkuu natafuta
1.Generator ya KVA 5,000 USED kutoka Japan
2.Cren ya 10
4. Engine ya D6 Grade cat zinaingiliana na Komatsu
5.Camping Car
6.Removable office
kama vipo vyote naomba picha
Ahsante mkuu kwa taarifa nikitaka ya mkonono nitakuchekiMkuu machine ya D6 nayo bado mbichi ni pm nikupe maelekezo
mkuu unawajua wabongo au hio ticket inaambatana na clause ya kwamba lazima ununue kitu...., angalia usijikute badala ya kuwa mfanyabiashara ukawa mtu wa kutoa charity ya watu kwenda holiday....Wateja wanaotaka kununua Meli Boat kubwa Vivuko na bulk cargo mitambo ya miradi mbalimbali Wakandalasi kuna offa za tiketi za ndege bure mnunuzi anaweza kuongozana na mtu wake wa karibu kila moja atapata tike yake ya Emirates Dar Tokyo na kurudi wote mnakaribishwa.
Ndio wind turbine yenyewe hio,mashine ya kuzalisha umeme kwa upepo,niliokuuliza hapo juuSijua nini hicho
Watu wabunifu sana
1.)Mkuu Asante kwakuliza swali Ndani ya Japan nikosa kisheria kuuza bidhaa au kitu kibovu na ndio maana ukiangalia picha za bidhaa mbalimbali utakuta sehemu yenye creki au sehemu ambazo zimechubuka panazungushiwa mstari mkubwa.Kiongozi naomba niulize swali lingne bidhaa zinazokua aploded zinakaguliwa kama zinafanya kazi kama mashine mbalimbali maana kama seller anaweza kuapload bidhaa na akauza je nyie mnajihakikishia vp kama bidhaa ni nzima na imekaguliwa ili mtu asije kununua bidhaa mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuu1.)Mkuu Asante kwakuliza swali Ndani ya Japan nikosa kisheria kuuza bidhaa au kitu kibovu na ndio maana ukiangalia picha za bidhaa mbalimbali utakuta sehemu yenye creki au sehemu ambazo zimechubuka panazungushiwa mstari mkubwa.
2.) Bidhaa zote zinatumwa offic kabla ya kufanya malipo kwa seller anapigiwa simu kulinganisha maelezo ya bidhaa ndani ya site.
3.)Bidhaa ikifika offini kwetu tunaikagua na kuifunga upya