Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Baskeli ya mtu mzima sh ngapi?
Sitaki uniambie niingie katika tovuti yako, nitajie bei hapa hapa, we taja bei ya/za baiskeli ya mtu mzima.
 
Jinsonjohn,

MKUU iphone 6plus 32 gb mpka naipata mkononi kwa njia ya ndege. Ni shiling ngapi? Naomba nijibu hapa ili ndo nizame huko
 
No kwenye site yenu

Resale inawezeka lazima uwe na membership kuna faida nyingi kua na membership badala ya deposit ,Users wengi wana weka Auction Depots badala ya Membership.

Tofauti kati ya Membership na Deposit

Deposit ukisha nunua bidhaa deposit yako unaweza kuijumlisha nfano umeweka depot ya 1,000 kwenye account ukashinda mnada wa elfu 10,000 upaswa ku deposit 9,000 plus 1,000 yako ya DEPOSIT = 10,000
Membership nikinyume chake ukishinda mnada wa 10,000 una membership ya 1,000 utapaswa ku deposit 10,000 mzima 1000 inabaki kwenye Account yako.

faida za membership kwenye website yetu ninyingi sana nitataja chache
1.Resale lazima uwe na membership
2.Bonds lazima uwe na membership

Resale ukisha win auction ukalipia ghrama zote za auction plus membership kwenye Menu yako upatapa option ya ku edit bei nfano bidhaa umenunua elfu 10 utaogeza elfu 2,000 jumla ya bei 12,000 picha zitabaki zilezile za mwanzo utaweza ku post itema kweny action page users wataona na ku bid pesa yako utaingiziwa moja kwamoja kwenye account yako. Nilazima hiyo bidhaa iwe ndani ya Japan sio nje ya Japan
 
Ok
 
Naomba nipate majibu ya maswali haya tafadhali

1. Namna ya kujisajili ili uwe membership na sio deposit maana kwenye website sioni sehemu ya membership na ona kudeposit tu

2. Kwa mfano bidhaa bid price imewekwa 500000. Ukishinda mnada mzigo unasafirishwa kwa ile ile bei au kunagarama tena zitaongezeka za kusafirisha mzigo na ushuru.

3. Ofisi yenu ipo wap kwa dar kwa wale wanaotaka kuja kuwekea hela ofisini au kutumia address ya ofisini kwenu ili mzigo ukifika anachukulia hapo kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ukiwa na balance tuma request kwa admin atakuanganisha
2 Garama zote zinajumlishwa kwenye bei ukishinda mnada kama ni elfu 5,000 hakuna gharama zingine
3. Office yetu ikoTabata Bima ukishuka Bima kituoni ulizia jengo la Husein Pambakali juu ya jengo utaona office zetu na bango kubwa.
 
Dah kumi tu?hadi kufika bongo mngetuwekea hesabu kamili nataka niwe naendea mbudya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…