Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei please
LAMADI Fright Forwards Co LTD kwakushirikia na Digxam.com inakuletea minada ya online kila siku.
Kuwa mshindi Bid ,Nunua ,Toa offer, Bidhaa ziko nyingi sana mfano
1. Pikipiki za aina zote,
2. Mgari ya kutaka vipuli
3. Laptop
4. Desktop
5. Simu
6. Camera Lens
7. Vifaa vya kilimo trekita Pawatira Green House
8. Vifaa vya maofisini kama printer Meza nk
9. Vifaa vya matumizi ya nyumbani Mafriji Mashine za kufulia nguo Majiko
ya Ges nk
10. Vifaa vya ujenzi wa barabara na miradi mbali mbali kama Rolla Graders
Excavators
11. Magari
12. Vipuli
13. Mashine za kushona nguo za Juki Brother Singer Mitsubishi Toyota
14. Vifaa vya Gereji Mashine za kubadilisha Matairi Jeck za kunyanyua magari
Compressor
15. Majenereta
16. Saa za mkononi
17. Work stations
18. Music kama Vinanda , DVD, amplifier
19. Mabegi ya Mtumba
20. Vifaa vya mahospitalini
21. Vifaa vya uvuvi ziwani na baharini Boat Engine za Boat Meli
22. Nanyingine nyingi
Jinsi ya kujisajili kwenye website yetu
1. Fungua ukurasa wetu wa tovuti
2. Kisha weka jina la kutumia
3. Unaweka nyuira yako (Password)
4. Unabonyenyeza kitufe cha kutuma
5. Unaingia kwenye barua pepe
6. Utakua user name na( password )
7. Hakikisha unajaza taarifa zako zote pamoja na namba ya simu
Jinsi ya kushiriki kwenye Minada
1. Kujisajili kwenye webite yetu
2. Kuweka salio kwenye Acount yako
3. Ku bidi
4. Kutuma offa
5. Kununua moja kwa moja
Ukisha shinda mnada au kununua mizigo wako
Utatumiwa ujumbe kwa njia ya barua pepe kuwa umefanyikiwa kununua kitu Fulani
Utatumiwa traking namba
Ingia kwenye ukurasa wa tracker weka namba yako kujua position ya Mzigo
wako.
Mzigo wako utaandaliwa na kupakiwa kwenye container ,RORO,Ndege,au
EMS
Mzigo unachukua muda wa miezi miwili hadi mitatu kufika Dar es Salaam
kwanjia ya Container
Kwanjia ya Ndege na EMS week moja
Kama mzigo unatakiwa kusafirishwa kwenda mikoani kuna gharama za usafiri baada ya mzigo kufika offisini kwetu garama zitatozwa kulinga na ubali.
Utapataje bidhaa ambazo hazipo kwenye website yetu
1. Login
2. Fungua ukurasa wa foram
3. Tuma hitaji lako
4. Tuma na picha kama unayo au namba
5. Ngoja majibu
Kuna aina mbili za minada
1. Minada ya kila siku
2. Minada ya live kupitia YouTube facebook na kwenye website yetu
Ku bid nikupitia kwenye website tu kwingine ni kama maonyesho tu
3. Wanunuzi wa jumla mfano spare za used za Magari watapangiwa mafungu
watapewa list aina gani za spare zipo kwenye fungu na aina ya gari , Njia
mtatangaziwa siku tatu kabla ya mnada.
Njia za usafirishaji wa mizigo
1. Ndege
2. Container (Mizgo mchanganyiko)
3. RO RO (Magari na Bulk Cargo)
4. EMS (Parcels)
Ratiba ya Usafiri
1. Kila mwezi Container moja
2. EMS kila siku
3. Ndege kila siku
Fee zetu.
1. Ukipokea mzigo wako mwenyewe utalipa 2% ya bei
2. Ukiletewa nyumbani utapewa invoice kulinga na umbali .
Jinsi ya kuweka salio kwenye Acount yako kwenye website yetu
1. Utapewa namba ya wakala
2. Unaweza kuleta cash ofisini
3. Unaweza kutumia PayPal
4. Unaweza kutuma Japan
Biashara zote lazima zifanyike kupitia kwenye website ya Digxam.com Kwa maelezo zaidi tutembele kwenye ofisi yetu iliko Tabata Bima shuka kituo cha Bima uliza LAMADI Freight Forwarders Co. LTD utaelekezwa. Au piga simu ya kiganjani +255-764-837-757 Au wasiliana noja kwa moja Japan piga +81-90-1733-7447
Share nawenzako Taarifa hizi, ukipokea mzigo wako toa maoni yako changamoto zozote utakazo kumbananazo au bila changamoto nenda kwenye ukurasa wetu wa Testimonial Share na wenzako ilimradi maoni yako yasiwe ya kuposha .
Napenda sana kuwapongeza ndugu zetu wa nimrpitia website yao Digxam.com nimegundua hawa watu wana future ya biashara mmeona mbali mnoo kwa kutufikiria kwa vitu vya mtumba original kutoka Japan naongea hivi kutokana na yaliyonikuta baada ya kununua generator jipya la mchina la 30 KVA yaani kilichotokea hata miez 3 halikufikisha ikaanza kazi ya kila siku kuita Mafundi mala kinu kimeungua nikanunua kingine mala engine mzunguko ndogo mpaka sasa nimechoka na nimeachana nalo kabisaa natamani kutaja aina lkn sioni sababu inabidi mjipange vizuri mtapata upinzani mkubwa sana kutokakwa wauza bidhaa feki msife moyo tuko nyuma yenu ila vitu vya mtumba kutoka Japan ni uhakika tena mjapan hiyo ni ndoa ya kanisani unakuta Generator limetumika masaa kiduchu nawapongezeni sana nawatia moyo msikatishwe tamaa na wauzaji wa vitu feki wanaturudisha nyuma kimaendeleo unawaza kitu kimoja kila siku badala kusonga mbele soko limejaa vitu feki vya kichina wizi mtupuView attachment 1284881
Tuwekeze kwenye Uvuvi hii ni boat ya uvuvi ya kisasa ndani mzuri sana kuna vifa vya kisasa vya uvuvi ndani iko bomba ya kijanja sana kuwa wakwanza kuimiliki
1.Ina vifaa vyakuta samaki na ktambua walipojificha
2.Kutambua aina ya Samaki
3.Wingi wa samaki
4.Nyavu a kisasa za kunasa Samaki
5.Speed
6.Fulu kiyoyozi
Bei yake M 10
Yes mkuu hapo sahihi. Pia pokea order hapa hapa achana na habari za website. Kama kuna mashine nahitaji nakutumia pm unanijibu. Usicomplicate mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Asante sana kwa ushaur wako biashara yoyote nguzo yake kuu ni umaninifu na uwazi ndio mana kwenye website yetu kunaHongereni sana kwa ubunifu wa kutuunganisha na Bidhaa za Japani moja kwa moja kikubwa zingatieni uaminifu ndiyo nguzo ya mafanikio katika biashara
Hapana mkuu bidhaa zinapatikana Japan mimi siko Japan itapendeza sana kufata utaratibu kwa usalama wapesa zako uwekaji wa record taarifa zote vitengo vyote wanategemea website kuanzia kunua mzigo kusafirisha kusambaza usikubali kufanya biashara nje ya website kuna kumbukumbu nyingi zinabaki kwajili ya usalama wa mizigo wako taarifa zinafutika baada ya mzigo ukipokelewa sisi kazi yetu kubwa ni kutoa mzigo bandari na kusambaza mizigo tuYes mkuu hapo sahihi. Pia pokea order hapa hapa achana na habari za website. Kama kuna mashine nahitaji nakutumia pm unanijibu. Usicomplicate mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu edit hii,sidhani kama ni laki 700View attachment 1284467
View attachment 1284476
Agiza Nikon D 3200 kwa laki 700 tu ofa ya mwaka mpya. ingia kwenye webite jisajili kisha fanya manunuzi kwa garama nafuu. ndani ya week moja utakua na Camera yako mkononi
Laki 700?? Jaribu kuiweka kwa lugha ya malkia labda mimi ndiyo sielewi (laki Mia Saba)Hiyo camera ndio bei yake
Sasa zile Mashine za mbao bei haijapatikana tu? Kwenye website ha zipoMkuu zipo wanazi-upload kwenye site soon utaziona na bei zake