Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha unatelekeza mtungi na kurudi kwenye mkaa au kulazimika kutibua bajeti yako uliyojiwekea.
Unalipia kwenye tigo pesa, airtel money au m pesa kama vile unavyolipia vitu vingine.
Kizuri zaidi unaweza kufuatilia matumizi yako kwa kutumia mita maalum yenye kadi janja. Ujanja sasa ni teknolojia, hii ni mkombozi wako.
Jiunge leo kwa Sh 40000 na upewe jiko la sahani mbili na mtungi wake sambamba na salio la gesi ya kuanzia la Sh 5000 bure.
Huduma hii ni kwa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure mpaka kwako.
Tupigie sasa +255 713 748 763
Unalipia kwenye tigo pesa, airtel money au m pesa kama vile unavyolipia vitu vingine.
Kizuri zaidi unaweza kufuatilia matumizi yako kwa kutumia mita maalum yenye kadi janja. Ujanja sasa ni teknolojia, hii ni mkombozi wako.
Jiunge leo kwa Sh 40000 na upewe jiko la sahani mbili na mtungi wake sambamba na salio la gesi ya kuanzia la Sh 5000 bure.
Huduma hii ni kwa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure mpaka kwako.
Tupigie sasa +255 713 748 763