Jipatie jiko la gesi la kulipia kidogo kidogo kama luku kuanzia sh 1000

Jipatie jiko la gesi la kulipia kidogo kidogo kama luku kuanzia sh 1000

Attachments

  • 2cm70j0.jpg
    2cm70j0.jpg
    30.5 KB · Views: 23
Mpaka picha ndio uamini?
Tafuta sehemu nzurnzuri upige picha nzuri. Hii itasaidia kutangaza bishara yako. Tekinolojia yako na ubunifu ni mzuri unaorahishisha maisha ya wengi.


Ongeza ubunifu wa kibiashara kuvutia wateja.

Vinginevyo hongera kwa kuja na wazo zuri km hilo la kubadili changamoto ya matumizi ya mkaa kwenda kuea gesi

Pamoja
 
Tafuta sehemu nzurnzuri upige picha nzuri. Hii itasaidia kutangaza bishara yako. Tekinolojia yako na ubunifu ni mzuri unaorahishisha maisha ya wengi.


Ongeza ubunifu wa kibiashara kuvutia wateja.

Vinginevyo hongera kwa kuja na wazo zuri km hilo la kubadili changamoto ya matumizi ya mkaa kwenda kuea gesi

Pamoja
Picha zipo nyingi sana ndugu
 

Attachments

  • 287309147_7639863612722529_4235309923810040881_n.jpg
    287309147_7639863612722529_4235309923810040881_n.jpg
    42.8 KB · Views: 22
  • 300792920_5513425345370132_6416045719178177298_n.jpg
    300792920_5513425345370132_6416045719178177298_n.jpg
    61 KB · Views: 21
  • download.jpg
    download.jpg
    7.1 KB · Views: 22
  • jiko&mtungi.jpg
    jiko&mtungi.jpg
    27.6 KB · Views: 21
  • mgas2.png
    mgas2.png
    15.4 KB · Views: 19
  • sample5.png
    sample5.png
    16 KB · Views: 17
  • tangazo.png
    tangazo.png
    67.9 KB · Views: 20
Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha unatelekeza mtungi na kurudi kwenye mkaa au kulazimika kutibua bajeti yako uliyojiwekea.

Unalipia kwenye tigo pesa, airtel money au m pesa kama vile unavyolipia vitu vingine.

Kizuri zaidi unaweza kufuatilia matumizi yako kwa kutumia mita maalum yenye kadi janja. Ujanja sasa ni teknolojia, hii ni mkombozi wako.

Jiunge leo kwa Sh 40000 na upewe jiko la sahani mbili na mtungi wake sambamba na salio la gesi ya kuanzia la Sh 5000 bure.

Huduma hii ni kwa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure mpaka kwako.
Tupigie sasa +255 713 748 763
Wewe utakua dalali.

Mbona hii huduma mpaka Pwani bagamoyo ipo walishanipa vipeperushi vyao na mtaani kwangu wanapita sana na pikipiki lao la bluu la kuchaji. Toa taarifa kamili usaidie na wenginw na uisaidie kampuni yako.
 
Wewe utakua dalali.

Mbona hii huduma mpaka Pwani bagamoyo ipo walishanipa vipeperushi vyao na mtaani kwangu wanapita sana na pikipiki lao la bluu la kuchaji. Toa taarifa kamili usaidie na wenginw na uisaidie kampuni yako.
Ni kweli, baadhi ya maeneo ya mkoa wa Pwani imefika kama vile Bagamoy, Kibaha, Kwa Matheus na Mlandizi. Asante kwa kutuongezea
 
Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha unatelekeza mtungi na kurudi kwenye mkaa au kulazimika kutibua bajeti yako uliyojiwekea.

Unalipia kwenye tigo pesa, airtel money au m pesa kama vile unavyolipia vitu vingine.

Kizuri zaidi unaweza kufuatilia matumizi yako kwa kutumia mita maalum yenye kadi janja. Ujanja sasa ni teknolojia, hii ni mkombozi wako.

Jiunge leo kwa Sh 40000 na upewe jiko la sahani mbili na mtungi wake sambamba na salio la gesi ya kuanzia la Sh 5000 bure.

Huduma hii ni kwa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure mpaka kwako.
Tupigie sasa +255 713 748 763
Wapi upo mkuu na ni kampuni gani.
 
Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha unatelekeza mtungi na kurudi kwenye mkaa au kulazimika kutibua bajeti yako uliyojiwekea.

Unalipia kwenye tigo pesa, airtel money au m pesa kama vile unavyolipia vitu vingine.

Kizuri zaidi unaweza kufuatilia matumizi yako kwa kutumia mita maalum yenye kadi janja. Ujanja sasa ni teknolojia, hii ni mkombozi wako.

Jiunge leo kwa Sh 40000 na upewe jiko la sahani mbili na mtungi wake sambamba na salio la gesi ya kuanzia la Sh 5000 bure.

Huduma hii ni kwa Dar es Salaam pekee na usafiri ni bure mpaka kwako.
Tupigie sasa +255 713 748 763
Andron Mendes, Minaki boy, mtanzania mwenye asili ya mkoa wa Manyara, alianza na Kopagas, akishirikiana na Sabastian kutoka US.

Wakapambana na technology hiyo mpaka kufikia point ya kueleweka kwenye international innovation platform, na kuishawish kampuni mashuhuri inayojihusisha na biashara ya gas nchini uingereza iitwayo circle gas, wanaamua kuinunua technology hiyo kutoka kwa hawa wabia wawili (Andron n'a Sebastian) kwa donge nono la sh.billion 57.6 za kitanzania!

Andron anakuwa bilionea kijana kabisa katika ardhi ta Tanzania, akiwa na miaka 35 tu.

Mwezi Novemba, anapata janga la kumuua mlinzi wake wa godown la kuhifadhia gas kwa risasi, n'a kuutupa mwili wa mlinzi huyo huko kibaha...

Kesi inaendelea, tusubiri kuona nguvu ya pesa inavyonyinga haki za watu masikini...

Turudi, kwenye bei ya gas kupitia M-gas (Kopagas zamani), ni kweli kabisa kwamba huu ubunifu ni mzuri sana, lakini bei zake zipo juu mno, hufika mahali kg 1 ta gas huuzwa mpaka 5,000/= kwa mtu wa kipato kidogo atakimbia kuitumia, hii bado ni technology inayowarahisishia matajiri kutosumbuka sumbuka kununua gas mara kwa mara, na kusombelea mamitungi, otherwise masikini hawezi kumudu.

Ili iwe rafiki kwa wengi, serikali ione namna ya kumpunguzia kodi, ili na yeye auze kwa bei rafiki, itaokoa sana mazingira...


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Yan katika kitu sitomshauli mtu kutumia hili jiko la et unalipia kidogo kidogo yan ni uhuni mtupu unajikuta samani yake ni sawa na kununua mitungi hiyo miwili naongea hivi nishatuma nikaonaga huu ni ujinga hakuna kusave hapa nikapiga chini nikafunga langu mpaka sasa natumia na kweli natumia bila stress kabisa
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom