Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
Mpya ml 22 mpaka 21yakwako inatembea ml 25.Me ninayo anaendesha mmama iko vizuri sanaaaa ila bei ni 25M if interest PM tafadhali mnunuzi asiwe pasua kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpya ml 22 mpaka 21yakwako inatembea ml 25.Me ninayo anaendesha mmama iko vizuri sanaaaa ila bei ni 25M if interest PM tafadhali mnunuzi asiwe pasua kichwa
Mkuu natafta gx 110 au brevis km <100,000 CC isizid 2500 bajeti 7m
So kilamtu anahela yayadi mkuu .unaishi wapi ww???kunawatu wanaagiza gari nawanauza hawana yard .mfano ist yard ml 12 lakini unaweza kupata kwadalali kwa ml 10 huoni hapo kuna punguzo??Yard za magari zilivyo nyingi bado dalali anahitajika kweli.
Chief kila mtu na mahitaji yake hayo magari unayoyaona yard mengine hununuliwa toka kwa madalali na kuwekwa huko kwa bei ya kiyardyardYard za magari zilivyo nyingi bado dalali anahitajika kweli.
IST nyeupe au kijivu namba D bajet 7m. Nitapata baba?
Nitumie picha mzee 0718383404..njoo uchukue hii.![]()
Yard za magari zilivyo nyingi bado dalali anahitajika kweli.
Unataka gari gani chiefNaona humu ni toyota tu, ngoja nipite hivi!
Wee jamaa hivi unataka wateja kweli alaf utuonyesha ubavu wa gari eboooSpacio New MOdel namba C mil 6.5
![]()
Kutuma Picha hapa ni ishu sana chief mambo ya Picha namalizana na wateja watsap naomba kwa yeyote anayehitaji Picha zaidi watsap namba 0718295182 nitajie na gari unayohitajiUkiweka gari onyesha interior
Hapa narusha sampo Picha zaidi ya kumi kurusha JF Ni ishu wazee alafu uzi unapanda fasta naomba uchukue namba yangu hapo juu nicheki watsap Sekunde 2 natuma Picha hata kumiWee jamaa hivi unataka wateja kweli alaf utuonyesha ubavu wa gari ebooo