Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

Spacio New MOdel namba C mil 6.5
649dc03506d348b98e38dfd8ce6bba89.jpg
Ushaiuza hii ndinga.? 5 haiendi Mkuu, nipo Dsm
 
NISSAN PATROL NAMBA B ENGINE td 35
BEI MILION 25 CALL 0718295182, 0753254562 BANGOJEUPE
01c00d663a8e56eb769beffa36db80c4.jpg
 
MAKE TOYOTA .
MODEL CHASEA .
Km 14785
MODEL NUMBER SX 90 ENGINE CAPACITY 1938,
MWAKA 1994
MIL 4
Call
0718295182
0753254562
BANGOJEUPE
abd6eba8b49a4e4066a36f8d72c20d3b.jpg
81065fc7ca9b95b4fbf3f0ae5fdc0c0e.jpg
 
Unajua TZ dalali ni mwizi anataka kula hela kubwa kuliko. Kitu nauza 1M dalali atataka laki lakini yeye anaanza kukiuza tena kwa 2.5M hivyo anachukua 1.6M huu ni wizi. Nadhani itungwe sheria ambapo dalali awe link kati ya muuzaji na mnunuzi na baada ya biashara alipwe kamisheni kama madalali wa DSE
Arusha wanafanya hivyo. Wakali anakutafutia gari anakukutanisha na tajiri mkikubaliana yeye anapata % anasepa
 
Habari zenu wakuu,

Kwa uhitaji wa kununua gari used Tanzania, yaani gari za mikononi,

Wasiliana nami,

Leta oda yako kama sina nitakutafutia, kikubwa uwe na utayari na hela iwepo,

Ndani ya siku 1 unapata gari ulitakalo tayari kulikagua,

Pia kama unauza gari lolote nitakutafutia mnunuzi,

MAWASILIANO
Call/Sms
+255718295182
+255753254562
Instagram@bangojeupe
Watsap:+255718295182
Una suzuki jimny yenye sifa zifuatazo?
Name :Suzuki jimny.
Yom :1998 & above.
Cc :660.
milleage: below 80,000/=
My budget is 8,000,000/=.

Ukiipata nichek mkuu
 
Una suzuki jimny yenye sifa zifuatazo?
Name :Suzuki jimny.
Yom :1998 & above.
Cc :660.
milleage: below 80,000/=
My budget is 8,000,000/=.

Ukiipata nichek mkuu
Wewe ndie muhitaji?
 
Ni mm mkuu, mm sio dalali.. kama gari unayo sema kesho tuonane..
 
NOAH KALI SANA
MASHINE HAIJAGUSWA
Cc 1990
Mil 8 TZS
Neg
LOCATION KIGAMBONI
Call
0718295182
0765505909
0ff45395fd2cf4a0cda1b4f7457208e9.jpg
 
MITSUBISHI OUTLANDER
mwaka 2006
KM 60,000.
Auto transmission
CC 2400,
viti vya ngozi na ni keyless entry
MIL 18
CALL
0718295182
0765505909
BANGOJEUPE
65770e8b30bcb8e89ef27dcf7742775b.jpg
 
Noah sr 40 four wheel
Ml 9.5fixed
828050d0042174f8494c3856cb0dfc65.jpg
6ebc66a9d2774c3348853d26422ab16d.jpg
Naitaka hiyo ipo wapi kuikagua jibu maswali haya
1.service card ipo/haipo
2.matumizi: biashara/ binafsi
3.Ajali:ilipata/haijapata
4.Mnunuzibongo: 2/3 4
/4
U
5.Ushuru: imelipiwa/hajalipiwa
6. Picha za ndani
7.Bei ya mwisho kuuza
8. Inasoma kilomita ngapi
9.Kwanini unauza gari yako nzuri hivi?
 
Naitaka hiyo ipo wapi kuikagua jibu maswali haya
1.service card ipo/haipo
2.matumizi: biashara/ binafsi
3.Ajali:ilipata/haijapata
4.Mnunuzibongo: 2/3 4
/4
U
5.Ushuru: imelipiwa/hajalipiwa
6. Picha za ndani
7.Bei ya mwisho kuuza
8. Inasoma kilomita ngapi
9.Kwanini unauza gari yako nzuri hivi?
Hayo yote utajibiwa ukienda kukagua,ila mkuu una mikwara afu ukute Sio mnunuzi [emoji2] [emoji2] [emoji1]

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Naitaka hiyo ipo wapi kuikagua jibu maswali haya
1.service card ipo/haipo
2.matumizi: biashara/ binafsi
3.Ajali:ilipata/haijapata
4.Mnunuzibongo: 2/3 4
/4
U
5.Ushuru: imelipiwa/hajalipiwa
6. Picha za ndani
7.Bei ya mwisho kuuza
8. Inasoma kilomita ngapi
9.Kwanini unauza gari yako nzuri hivi?
Imeuzwa
 
Naitaka hiyo ipo wapi kuikagua jibu maswali haya
1.service card ipo/haipo
2.matumizi: biashara/ binafsi
3.Ajali:ilipata/haijapata
4.Mnunuzibongo: 2/3 4
/4
U
5.Ushuru: imelipiwa/hajalipiwa
6. Picha za ndani
7.Bei ya mwisho kuuza
8. Inasoma kilomita ngapi
9.Kwanini unauza gari yako nzuri hivi?
Ninaitaka hiyo kama haijauzwa nibeep 0623305695 tufanye biashara serious
 
Back
Top Bottom