Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari aina gani chiefhivi kuna gari ya million tatu nzuri kabisa??
Ivi toyota Opa utakuwa nayo,hebu nipe bei
hivi kuna gari ya million tatu nzuri kabisa??
Ntafutie mteja Nna Toyota wish #DG,Milage 63000,rangi ya silver,gari kali sana,iliingia nchini mwaka Jana Mwezi wa 6,Magari yapo nipe oda yako
Madalali tamaa inawaponza na Mnasababisha bidhaa za Watu zisiuzike,mwenzio kashalitangaza hili jukwaa hili hili zaidi ya Wiki sasa kwa 10milion,ww umeongea hapo 3.NAUZA MARK X KALI SANA HII
Year:2005
CC: 2490
Fuel: Petrol
Milage : 157,800
PRICE:MIL 13 TZS
LOCATION DSM MLIMANI CITY
CALL
0718295182
0765505909![]()
![]()
BANGOJEUPE
Tuma picha 0718295182Ntafutie mteja Nna Toyota wish #DG,Milage 63000,rangi ya silver,gari kali sana,iliingia nchini mwaka Jana Mwezi wa 6,
Bei yake ni 10mln.....ukipata mteja ncheki kwenye # yangu bango
Ova
Imeshauzwa [emoji1][emoji1][emoji1]Hivi naweza kuisajili huyo namba B na kuwa namba D pamoja kuwa chakavu!!!!!
Zipo. Baba mwenye nyumba wangu anatembelea Rav4 Old model alichukua kwa 3.2m matengenezo hadi kukaa barabaran iligharimu laki3 [emoji1]hivi kuna gari ya million tatu nzuri kabisa??
Naeza ona picha mkuu?Ntafutie mteja Nna Toyota wish #DG,Milage 63000,rangi ya silver,gari kali sana,iliingia nchini mwaka Jana Mwezi wa 6,
Bei yake ni 10mln.....ukipata mteja ncheki kwenye # yangu bango
Ova
Hiyo gari nilikabidhiwa na aliyejitambulisha kama mmiliki na aliponikabidhi hakunipa kwa hiyo bei unayosema wewe , hata hivyo mimi ni mfanyabiashara hizo ni techniques za biashara, bila tamaa huwezi pata kitu kwenye hizi biashara lakini pia tambua mwisho wa siku biashara ni kati ya mwenye gari na mnunuzi !Madalali tamaa inawaponza na Mnasababisha bidhaa za Watu zisiuzike,mwenzio kashalitangaza hili jukwaa hili hili zaidi ya Wiki sasa kwa 10milion,ww umeongea hapo 3.
Nicheki watsap 0718295182Naeza ona picha mkuu?
Unaongelea gari ipihuu mzoga nani anunue kwa mi4 embu kuwa serious basi khaaa