Plot4Sale Jipatie Shamba Vigwaza la ekari saba na nusu kwa Milioni 20

Plot4Sale Jipatie Shamba Vigwaza la ekari saba na nusu kwa Milioni 20

Snipper

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,336
Reaction score
2,171
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku, mbuzi, bata na mifugo mingine.

Huduma ya maji ya DAWASA imesogezwa karibu na shamba umbali wa mita 400. Shamba liko jirani na Chuo cha Mainjinia wa Ndege hivyo kwa baadae ni eneo zuri kwa kuwekeza katika ujenzi wa hosteli. Baadhi ya majirani wameshaanza ujenzi wa nyumba za kuishi na mabanda ya ufugaji. Karibuni sana tufanye biashara.

IMG_20220911_152247_525.jpg
IMG_20220911_152249_333.jpg
 
Nifate inbox tuyajenge ujipatie shamba zuri kabisa kwa bei sawa na ya bure. Mimi siyo dalali bali ni mmiliki mwenyewe
 
Asante kwa taarifa. Hiyo bei mazungumzo si yapo? Panafikika kwa gari mpaka shambani?
 
Hauzi heka moja moja maana jumla zote siwezi mzeya
 
Karibuni sana wakuu mjipatie shamba kwa bei nzuri kabisa. Ukitaka eka moja au zaidi tunakuuzia pia
 
Karibuni sana wakuu mjipatie shamba kwa bei nzuri kabisa. Ukitaka eka moja au zaidi tunakuuzia pia. Mszungumzo kuhusu bei yanaruhusiwa kabisa usiogope
 
Bado nawakaribisha mjipatie shamba kwa bei nafuu kabisa. Ni shamba ambalo ukilipata litakufaa sana kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo na mifugo na hata makazi.
 
Wakuu bado shamba lipo ni nyie tu kuja inbox tuyajenge. Ukitaka hata eka moja unakatiwa ili uanze mambo yako ya uwekezaji
 
Ni mbele ya kongowe?
Ndiyo Mkuu ni mbele ya kongowe. Ukishapita daraja la Ruvu kuna Ranchi ya pale sasa kwa mbele yake ndio wanapaita Vigwaza. Njoo tuyajenge mimi mwenyewe ndio mmiliki
 
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku, mbuzi, bata na mifugo mingine.

Huduma ya maji ya DAWASA imesogezwa karibu na shamba umbali wa mita 400. Shamba liko jirani na Chuo cha Mainjinia wa Ndege hivyo kwa baadae ni eneo zuri kwa kuwekeza katika ujenzi wa hosteli. Baadhi ya majirani wameshaanza ujenzi wa nyumba za kuishi na mabanda ya ufugaji. Karibuni sana tufanye biashara.
 
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku, mbuzi, bata na mifugo mingine.

Huduma ya maji ya DAWASA imesogezwa karibu na shamba umbali wa mita 400. Shamba liko jirani na Chuo cha Mainjinia wa Ndege hivyo kwa baadae ni eneo zuri kwa kuwekeza katika ujenzi wa hosteli. Baadhi ya majirani wameshaanza ujenzi wa nyumba za kuishi na mabanda ya ufugaji. Karibuni sana tufanye biashara.
Asante sana mkuu kwa taarifa hii. Vipi kilimo cha alizeti hapo kinafaa?
 
Back
Top Bottom