Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kulima na kujenga pia mkuu. Sasa akichukua eka saba zote atazitumia kujenga tu? Ukaribu wa shamba na mjini maana yake hata kusimamia shamba gharama ni ndogo maana hatapata tabu ya usafiri. Pale shambani kwangu ukitokea vigwaza mjini mpaka shambani pikipiki ni elfu 1500 hadi 2000. Hata unaweza kwenda shambani kwa mguu ukishuka kwenye daladalaIlo Apo liko mjini mjini,sehemu panajengeka,ukiitaji la kilimo ,lipo ,laki tatu kwa eka
Pale unaweza kulima mihogo, alizeti, ufuta, mbaazi, viazi nk. Upande wa kufuga ndio babkubwa kabisa na uzuri ukitaka kupeleka mifugo yako kama mbuzi au ng'ombe mnadani hauingii gharama yoyote zaidi ya kuswaga mifugo yako mpaka mnadani maana mnada uko hapohapo Vigwaza. Unajaza mfuko wako unarudi mdogomdogo na furaha zako tele. Karibu ujipatie eneo mkuu..kumbuka mi ni mmiliki na siyo dalali hivyo ukija tutaelewana tuAsante sana mkuu kwa taarifa hii. Vipi kilimo cha alizeti hapo kinafaa?
Wap huko kakaIlo Apo liko mjini mjini,sehemu panajengeka,ukiitaji la kilimo ,lipo ,laki tatu kwa eka
Asante sana kwa ufafanuzi huu mkuu. Nitakucheki ngoja nijipangePale unaweza kulima mihogo, alizeti, ufuta, mbaazi, viazi nk. Upande wa kufuga ndio babkubwa kabisa na uzuri ukitaka kupeleka mifugo yako kama mbuzi au ng'ombe mnadani hauingii gharama yoyote zaidi ya kuswaga mifugo yako mpaka mnadani maana mnada uko hapohapo Vigwaza. Unajaza mfuko wako unarudi mdogomdogo na furaha zako tele. Karibu ujipatie eneo mkuu..kumbuka mi ni mmiliki na siyo dalali hivyo ukija tutaelewana tu
Mkuu nikiwa vizuri nitakuona japo nipate eka moja. Majuzi nimepita hapo Vigwaza nikiwa nimetoka mkoani nikakumbuka tangazo lako hili la shamba.Naendelea kuwakumbusha wanaJF karibuni mjipatie ardhi kwa bei nafuu. Unaweza kupata eka moja au zaidi. Ni wewe tu na kiasi ulichonacho hatuwezi kushindwana