Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Hellow africa

Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa changr yake

Nilipo rudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi saasa akanisimamisha tena

Unaenda wapi nikamjibu akaaza nimeona karot na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa

Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghair nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa

Nikawa nime mbebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni

Uthibitosho text izo bad anafosi niende jion mimi msimamo nilio jiweke siwez tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa
Tz ya viwanda ndo hii sasa.
 
Mbona kama wewe umempenda? Yaani mtu ambaye humtaki unamwambia mambo ya nikija utanipa Nini? Kwani haijulikani mwanamke anachompa mwanaume, unapomuuliza umenipendea Nini? Ni kweli hapo hutaki kumkunja? Halafu sioni kama ni sawa kuweka mambo faragha ya mwenzio, mwanaume akitongozwa Huwa hatangazi anapiga kimya kimya
 
Mbona kama wewe umempenda? Yaani mtu ambaye humtaki unamwambia mambo ya nikija utanipa Nini? Kwani haijulikani mwanamke anachompa mwanaume, unapomuuliza umenipendea Nini? Ni kweli hapo hutaki kumkunja? Halafu sioni kama ni sawa kuweka mambo faragha ya mwenzio, mwanaume akitongozwa Huwa hatangazi anapiga kimya kimya
Ana utoto sana huyu chalii, eti nikija utanipa nini 🤣🤣🤣, umenipendea nini kudadadeki huyu jamaa
 
Hellow africa

Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa changr yake

Nilipo rudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi saasa akanisimamisha tena

Unaenda wapi nikamjibu akaaza nimeona karot na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa

Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghair nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa

Nikawa nime mbebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni

Uthibitosho text izo bad anafosi niende jion mimi msimamo nilio jiweke siwez tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa
You are either a boy or a gay. A man can never behave this way.
 
Back
Top Bottom