Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Mbona kama wewe umempenda? Yaani mtu ambaye humtaki unamwambia mambo ya nikija utanipa Nini? Kwani haijulikani mwanamke anachompa mwanaume, unapomuuliza umenipendea Nini? Ni kweli hapo hutaki kumkunja? Halafu sioni kama ni sawa kuweka mambo faragha ya mwenzio, mwanaume akitongozwa Huwa hatangazi anapiga kimya kimya
Kijana Bogus huyo
 
Back
Top Bottom