Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Alipiga on sio horn!😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipiga on sio horn!😃
Halaf mtaa gani huo unakutana kutana na watu ovyo kila saa😅Alipiga on sio horn!😃
Alafu Mwanaume Unaendaje Sokoni Mara Oh Kaniagiza Nyanya Sijui Kitunguu Sijui Kasahau kanitumia nyama Tuweni Serious Kuna Muda Ili hata Ke Akitaka Kukupa Utamu anakupa Tuu Bila Wasi Hela utatoa mwenyeweHalaf mtaa gani huo unakutana kutana na watu ovyo kila saa😅
Em ahame uswazi
unachokitafuta utakipata😊😂😂😂 ila mke wa mtu mtamu sana anamtukana hadi mumewe
Huyo demu inaonekana anabebea kibwebwe njaa zake. Usijitusu ukamla, utakua ndo unahudumia kila kitu kuanzia gesi, hela ya saluni, hela ya umeme. DON'T TRY IT.Hellow african,
Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa change yake.
Niliporudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi sasa akanisimamisha tena.
Unaenda wapi nikamjibu akaanza nimeona karoti na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa.
Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghairi nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa.
Nikawa nimembebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni.
Uthibitosho text izo bado anafosi niende jioni mimi msimamo nilio jiwekea siwezi tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa.
Wajaluo hawana tabia hizo nitawatetea mpaka dakika za mwisho"Olivyo" ndo kiswahili gani?
Uyo jirani yako Ni MJALUO?[emoji28]
Sana ata wewe nakuendesha 😂😂Naona sasa hivi ni driver mzuri!😅
Sinpipiiiii
Nihaamie wapi ase 😂😂😂Halaf mtaa gani huo unakutana kutana na watu ovyo kila saa😅
Em ahame uswazi
Sawa malikiaSaa ingine unatakiwa uwe na kifua sio kila kitu unasema unaboa saa ingine
Kwahiyo ukiwa single utakuwa unakula mgawani mpaka uoe?Alafu Mwanaume Unaendaje Sokoni Mara Oh Kaniagiza Nyanya Sijui Kitunguu Sijui Kasahau kanitumia nyama Tuweni Serious Kuna Muda Ili hata Ke Akitaka Kukupa Utamu anakupa Tuu Bila Wasi Hela utatoa mwenyewe
Vry sooonunachokitafuta utakipata😊
Njoo ushuaniNihaamie wapi ase 😂😂😂
atabia zipi?Wajaluo hawana tabia hizo nitawatetea mpaka dakika za mwisho
Usije ukajidhania handsome, unapangwa ili upewe majukumu halafu utakuwa unapewa majukumu huku unanyanyasikaHellow african,
Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa change yake.
Niliporudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi sasa akanisimamisha tena.
Unaenda wapi nikamjibu akaanza nimeona karoti na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa.
Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghairi nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa.
Nikawa nimembebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni.
Uthibitosho text izo bado anafosi niende jioni mimi msimamo nilio jiwekea siwezi tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa.
msimamo nilio jiwekea siwezi tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa.
Isijekuwa wewe ndo umemtuma mwanangu nyama na vocha😀Saa ingine unatakiwa uwe na kifua sio kila kitu unasema unaboa saa ingine