Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Tz ya viwanda ndo hii sasa.
 
Mbona kama wewe umempenda? Yaani mtu ambaye humtaki unamwambia mambo ya nikija utanipa Nini? Kwani haijulikani mwanamke anachompa mwanaume, unapomuuliza umenipendea Nini? Ni kweli hapo hutaki kumkunja? Halafu sioni kama ni sawa kuweka mambo faragha ya mwenzio, mwanaume akitongozwa Huwa hatangazi anapiga kimya kimya
 
Ana utoto sana huyu chalii, eti nikija utanipa nini 🀣🀣🀣, umenipendea nini kudadadeki huyu jamaa
 
You are either a boy or a gay. A man can never behave this way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…