Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfyuuuu 😕😕😕😕🙁🙁😁😁😁😁😁!🤭🤭!
Wewe upo siku zote hahaha...Mfyuuuu 😕😕😕😕🙁🙁😁😁😁😁😁!🤭🤭!
😁😁😁😁😁😁!Wewe upo siku zote hahaha...
pole mkuu hakika unapitia wakati mgumu.Ijumaa wanamkesha, jumapili ni kuanzia asbh hadi jioni wanakula hapohapo
Mi jirani yangu amejenga choo mpakani kabisa na kamaliza,ubaya unakuja pale maji ya kuoga na na mikojo inatiririkia kwangu na nimemwambia ila kilichotokea sio kurekebisha ila ni kununiana na huu ni mwaka wa nne.
Jirani yangu kachukua mchanga nilinunua kajenga banda la kuku..., hapo bado sijamaliza ujenzi..., inatia hasira sana
Kanga hana mpinzani kwa makelelekanga ndo wana kelele balaa
jirani akifuga kanga umeisha
mtamu huyoooonguruwe nitakataka tuu hafai kufugwa nimnyama waporini
Hivi kufuga kuku nayo ni kitu hatari kiasi hicho ?
Akitoa hao mifugo--anamkodishia mtu wa kanisa.
Kanisa la mabati na spika mbili kubwa.
Utahama mwenyewe!
Hii naisikia kwako chiefkwanza ufugaji wa kuku hasa wa mayai unaleta sana nyoka, nyoka wanafata mayai ya kuku. dada yangu alikuwa anafuga kuku wengi wa biashara na karibu kila wiki alikuwa anaua nyoka bandani kwake, yani kila mara nyoka wanaingia kula mayai.
kwa hivyo ukiwa jirani na mfuga kuku jiandae na wewe kutembelewa na nyoka nyumbani kwako.
Wagumu tunachumMnapishana tu au syo
View attachment 3125504
Kwa kweli hakuomba.., mbaya zaidi ni kuwa yeye alimaliza ujenzi wa nyumba mimi bado najitafuta kumaliza.., Jirani mwingine nae alichukuwa matofali yangu akajengea choo kisa alikuwa na sherehe kwaio akapita na tofali zangu ili wageni wake wasipate shida kujisaidiaAlikuomba? kama hajakuomba mwambie alipie anachukuaje bila kuomba?
😀😀😀Ha ha ha haaaa hivi na tulio kwenye nyumba za kupanga nao tuna majirani? Any way mimi mpangaji mwenzangu alikuwa kero kwangu kama ndio jiran basi ndiye huyo huyo.
Picha linaanza ana miaka 31 na ana watoto watano. Kinachotokea huduma muhim kwa familia hatoi chai ikipikwa sukari inawekwa kiasi kwamba chai ikiwa inaingia tumboni ndio unajua kuwa ilikuwa na sukari.
Uji ukikorogwa ni marufuk kuweka sukari anatia chumvi.
Samaki akinunua bichwa lote lake pekee yake watoto watajua wenyewe na kwa kuwa ni msabato anapitia humo humo kuwanyima familia baadhi ya huduma.
Shughuli kwa majirani watot wake wte wanajua ratiba ya majirani kula ha ha haaa ukitenga tu timu ya watoto wanne hao hapo kasoro mkubwa tu ndio anajitambia maana mkubwa yupo drs la pili.
Kumbuka watoto ni malaika maana huwezi wanyima chakula ila kero na lawama zinarudi kwa mzazi hasa wa kiume ni Nyau saana yule mwamba
😀😃😄Ha ha ha haaaa hivi na tulio kwenye nyumba za kupanga nao tuna majirani? Any way mimi mpangaji mwenzangu alikuwa kero kwangu kama ndio jiran basi ndiye huyo huyo.
Picha linaanza ana miaka 31 na ana watoto watano. Kinachotokea huduma muhim kwa familia hatoi chai ikipikwa sukari inawekwa kiasi kwamba chai ikiwa inaingia tumboni ndio unajua kuwa ilikuwa na sukari.
Uji ukikorogwa ni marufuk kuweka sukari anatia chumvi.
Samaki akinunua bichwa lote lake pekee yake watoto watajua wenyewe na kwa kuwa ni msabato anapitia humo humo kuwanyima familia baadhi ya huduma.
Shughuli kwa majirani watot wake wte wanajua ratiba ya majirani kula ha ha haaa ukitenga tu timu ya watoto wanne hao hapo kasoro mkubwa tu ndio anajitambia maana mkubwa yupo drs la pili.
Kumbuka watoto ni malaika maana huwezi wanyima chakula ila kero na lawama zinarudi kwa mzazi hasa wa kiume ni Nyau saana yule mwamba
Watanzania huwa tunawaza matatizo tu...Tatizo mikoani ukipata heart attack hata cardiologist hakuna. Tutabanana hapa hapa town.