Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Mbona rahisi tu nunua KVant namba yao itakuwepo imebandika, tena una uhakika hela yako inarudi na kupata maokotoNisaidie contact zao tafadhali,sina roho mbaya nae,kinachokera ni kelele na usumbufu anaotusababishia majirani kwa shughuli zake zisizo halali,kwa nini asiende kuifanyia mahali ambako hatakuwa kero kwa wengine??
Watanzania wana mawazo ya ajabu sana.Alishe yake kwa kuua za wengine??
Tatizo anaua familia za wengine na kvant zake za jikiAcha unoko ndugu..
Nchi yenyewe ina ufeki kila mahali, siasa feki, maisha feki, serikali yenyewe ina viongozi wenye ufeki mwingi..
Acha mwamba alishe familia yake..
Kwq vile uelewa wako umefikia hapo kikomo sina cha kuongeza.Ukienda hiyo Muhimbili kwa siku wanapokea wagonjwa wapya wa stroke wasiopungua 3.... Wagonjwa figo wa kutosha, wagonjwa wa ini, plus magonjwa mengine yasiyoambukiza ya kutosha..
Moral of the story ni kwamba siku hizi fakes are everywhere....
Mwamba aachwe asongeshe maisha..
Serikali si inasisitiza watu wajiajiri? Let them be.
Ukitaka kujua feki juu ya mfuniko haina nembo,wenyewe ni plainkumbe smartgin watu wanatoa kopi?
Ndo mana mtu akimaliza chupa mbili tu hata kuhema kwa tabu
Katika Dunia ya sasa ni bora mtu uwe busy na mambo yako.Ila jf bana yaani jamaa kaja kiungwana ila anavyopopolewa sasa. Lol
Mjinga wewe,wenzako ccm wanakula maini ya swala na minofu ya sangara ndo hawafi.sembuse gongo??acha unokoNi kweli.Aache unoko hadi ndugu zako wafe kwa kunyweshwa sumu.Sijui huwa mnakua na ubongo wa paka au nguchiro?
Dada fisadi hagusi figo ya mtu,huyu anachezea maini na figo za watu...apige feki vitu visivyogusa uhai aone kama kuna kelele zote...Hapa tunaongelea uhai na kifoHizi nguvu tunazotumia kuwachoma maskini wenzetu tungezipeleka kupambana na Mafisadi.
Acha 'Ukuda' fanya na jali yako.Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.
Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.
Nipo Kigamboni.
Nicheki inboxNi nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.
Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.
Nipo Kigamboni.
Kareport ofisi ya TRA ya mkoaNi nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.
Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.
Nipo Kigamboni.
Bora TBS umefika,aisee mshughulikieni ipasavyo mwehu huyoNicheki inbox
Watu wengi Sana wanatengeneza pombe fake ndomana wagonjwa wa Figo wamekuwa wengi sanaBora TBS umefika,aisee mshughulikieni ipasavyo mwehu huyo