Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
Nataka ufurahi tuπ€£π€£π€£π€£π€£ sijui ni thread zinachekesha au mimi ndio nna shida
af kabisa kunywa soda nakulipiapJirani sio mstaarabu na humu wenye tabia kama za jirani wa mtoa mada hamna ustaarabu. Chakula ameandaliwa mgeni unakaribishwa na mgeni hata huvungi. Huo uroho na sio ustaarabu kabisa.
Sio kila ukiambiwa karibu basi ukaribie chaaaa
Ok. Nahisi mnafahamiana vyema.Wewe bado haujaelewa kumbe. Yaani huyu mleta uzi alichoandika hapa ni tabia ya ulafi ya huyo jirani yake ambaye amejipendekeza kwa mgeni na kuchukua Kidali cha nyama ya kuku. Sijui unaelewa lakini kuwa kidali huwa ni kipande kikubwa sana?,
Umenichekesha kwakweliUmekosea sana umeingia chaka πππ
Jirani sio mstaarabu na humu wenye tabia kama za jirani wa mtoa mada hamna ustaarabu. Chakula ameandaliwa mgeni unakaribishwa na mgeni hata huvungi. Huo uroho na sio ustaarabu kabisa.
Sio kila ukiambiwa karibu basi ukaribie chaaaa