Pole sana jirani yake. Mimi na majirani wengine tulikuwa na jirani anafuga kuku. Wewe hiyo harufu tulishindwa kuvumilia.Tulimsihi awahamishe kuku maana mjini hapafai kufuga hao wanyama, akapotezea ndo tukaenda kwa mjumbe. Kesho yake kuku wote walihamishiwa Shamba huko Bagamoyo kitu kama hicho.
Fanya hivyo na wewe na upate kuungwa mkono na majirani wengine utafanikiwa. kufanya uhalifu kama wachangiaji wengine wanavyokushauri unajipalia mkaa.
Goodluck.