Jirani yangu anafanya kazi gani?

Na hiyo fedha ukiyoniazima nimekusamehe bwa'mdogo
 
Jiran umekuja kunisema huku si ungeni uliza tu mwenyewe? Aya mi na bet nilienda kwa tawile sumbawanga nikapiga m300 ndio nikajenga pia nina chungu alinipa babu huko sumbawanga nikitia laki inatokea m20 kwahy uje tena nikukope asante kwa umbea wako nimeupenda njoo baba hom
 
Online business
 
Jirani yako ana
Jirani yako anafanya kazi inaitwa mind your own business!
Jirani yako anafanya kazi inaitwa mind your own business!
 
Anakaa Changanyikeni au Golani au Msewe au Savei au Makongo ?
 
Haya maswali ni kamà maswali wanayojiuliza majirani zangu kuhusu mimi mpaka wakanichomea serikali ya mtaa eti nao wakaja kuniuliza. Siku hizi zama zimebadilika si lazima utoke nyumbani kutengeneza fedha
 
Hapo mtaani kwenu karibu na nyumba ya jirani yako hamna viatu vinavyoning'inia juu ya waya za Umeme?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…