Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Hicho kiwanja kipo mkoa gani, eneo gani na unauza bei gani?

Sema tukuondolee stress
 
Kwani huwa mnaoga nje?
Nakushauri upande miti kwenye huo upande wake, miti ikifunga ataambulia kuona matawi ya miti ikipepea muda wote
 
Kwani huwa mnaoga nje?
Nakushauri upande miti kwenye huo upande wake, miti ikifunga ataambulia kuona matawi ya miti ikipepea muda wote
Risk ya miti nayo pia siyo nzuri sna k
Kuweka kwa nyuma ya nyumba
 
Sasa ni hivi usilime kiache hivyo potelea pwete kwani kitu bana Namugari [emoji1787][emoji1787][emoji1787] fuga nyoka hapo bro tena "brack kolokodaili" yafukute hapo
Sasa sasahv s watasambaaa na hkn uzio
 
Sasa ni hivi usilime kiache hivyo potelea pwete kwani kitu bana Namugari 🤣🤣🤣 fuga nyoka hapo bro tena "brack kolokodaili" yafukute hapo
Afuge pia black mamba huyo analiacha na ghorofa lake hapo,kila siku hakikisha aliye mkubwa zaidi anamsalimia ndani ya fence yake🤸🤸🤸🤸🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…