Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mida ya daku au???Nnaweka dau
Fanya nkuone😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida ya daku au???Nnaweka dau
Fanya nkuone😂
Hmm mkuu hyo ujenz Ni hatari kwa usalama wangu[emoji23][emoji23] Wewe jamaa fala sana yan [emoji23][emoji23] nmecheka knoma, kwahy hata hujamaliza ujenzi wako tayari jirani yako ashaanza kulalamika [emoji23]
VyovyoteMida ya daku au???
Asante bhnaPole sana
Sio utani..ataleta mrejesho mwenyewe humu..sasa ukuta gani utavuka ghorofa.😂😂 Wewe jamaa fala sana yan 😂😂 nmecheka knoma, kwahy hata hujamaliza ujenzi wako tayari jirani yako ashaanza kulalamika 😂
Hadi vinyweleo vimenisimama aseee ukwapi nkuletee picha yangu nkiwa nimeiweka frem kabisaVyovyote
Picha moja ntatoa laki moja😂
I wishi nkujue unafananajevyaani😀
😂😂 dm dm apoooHadi vinyweleo vimenisimama aseee ukwapi nkuletee picha yangu nkiwa nimeiweka frem kabisa
Dah ila jamaa kiboko ety ukuta uvuke ghorofa 😂Sio utani..ataleta mrejesho mwenyewe humu..sasa ukuta gani utavuka ghorofa.
Siumeona Sasa shida ndio hyo jamaaa anauwezo wa kuniona tokea naingia getti kwangu [emoji41]Umenikumbusha nilikuwa naishi jirani na mtu mwenye gorofa. Na vile mimi nikishaingia getini ni kujiachia tu itakuwa alikuwa anakula chabo sana maana nilikuwa nikikutana nae anacheka cheka tu.
Mkuu😀😀😀Advanced Diploma in witchcraft technology 😊
Wee tulia utapigaa ukuta hata amini nitakachotokeaa nitamnyima jua la asbhSio utani..ataleta mrejesho mwenyewe humu..sasa ukuta gani utavuka ghorofa.
Huko utakohamia nako jirani akijenge ghorofa utauza kiwanja ukimbie tena!? Acha kujipa stress za kipuuzi.Wakuu huyu jamaa simjui vzr Ila nahisi Ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know View attachment 2933773
Usipambane na mwenye pesa.Wee tulia utapigaa ukuta hata amini nitakachotokeaa nitamnyima jua la asbh
Usalama upi we mlima kabechi!?Usalama wangu uko hatarini
Bora I we hvyo ila siyo kujianika vibayaHuko utakohamia nako jirani akijenge ghorofa utauza kiwanja ukimbie tena!? Acha kujipa stress za kipuuzi.
KAribu Igelegele mkuuWee tulia utapigaa ukuta hata amini nitakachotokeaa nitamnyima jua la asbh
Mm sijalima hzo kabechi niwatu nisio wajuwa wamevamia kiwanja changu na kupanda kabechi Ni hi Ni kawaida tu I'll nitawapa notice kuwa nitaanza ujenzi soon waaache kuotesha kabechiUsalama upi we mlima kabechi!?