Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Panda miti
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
kwanza kwani nyumba yako huko kwenye vyumba madirisha hayana vioo?
sasa kuhusu shughuli za nyumbani za uani ni zipi za ajabu unazofanya? si hizi za kawaida tu? sasa hofu ya nini
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Niuzie kiwanja chako kama kiko sehemu nzuri, hakafu mimi nitamhamisha kwa nguvu
 
Me nimekuelewa sana kaka.... Family inahitaji privacy!!!! Ukiona mtu baada ya kusoma uzi kaja juu, kwamba unaroho ya kimaskini, jua vice versa is true🤝

Kiuharisia, mwehu huwa haoni wehu wake..... na ignorant always think they are too smart 🚶🚶
Usibabaishwe na comments za wakazi wa Tandale kwa tumbo, hofu yako inaingia akilini ndugu
 
Me nimekuelewa sana kaka.... Family inahitaji privacy!!!! Ukiona mtu baada ya kusoma uzi kaja juu, kwamba unaroho ya kimaskini, jua vice versa is true🤝

Kiuharisia, mwehu huwa haoni wehu wake..... na ignorant always think they are too smart 🚶🚶
Usibabaishwe na comments za wakazi wa Tandale kwa tumbo, hofu yako inaingia akilini ndugu
"Kaka" yako kama sio wivu ana kaujinga tuu, watu wanajenga nyumba zao yeye anafikiri wanataka kumchungulia,mna akili za kipuuzi sana
 
Una kiwanja kizuri sana Mkuu. Usi uze hicho kiwanja. Nenda nunua sehemu nyingine kwa bei rahisi
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
 
Me nimekuelewa sana kaka.... Family inahitaji privacy!!!! Ukiona mtu baada ya kusoma uzi kaja juu, kwamba unaroho ya kimaskini, jua vice versa is true[emoji1666]

Kiuharisia, mwehu huwa haoni wehu wake..... na ignorant always think they are too smart [emoji124][emoji124]
Usibabaishwe na comments za wakazi wa Tandale kwa tumbo, hofu yako inaingia akilini ndugu
Wee umenielewa bhna usalama Ni muhimu kuliko Jambo lolote
 
Kwa maana hiyo ukiuza na kuhamia sehemu nyingine majirani zako wakijenga ghorofa tena utafanyaje?Acha Ujinga tuliza akili.Ishi uwezavyo.
 
Back
Top Bottom