Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

SEMA MIMI NIMEKUELEWA PIA.. ITAKUJENGEA UTAKUWA HAUNA UHURU UTAKUWA UNAHISI MDA WOTE UNACHUNGULIWA... MAANA KWENYE HIZI NYUMBA KUNA MDA UNACHOKA KUKAA NDANI INABIDI UKAE NJE KIDOGO

SEMA NINI SIO MBAYA HAPO HAUNA JINSI YA KUFANYA NI KUWA MPOLE TU

TULIO JENGA NA TUNAFAMILIA TUMEKUELEWA KINACHOKUTESA SIO WIVU HAPANA.
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
activity zenyewe za kuficha ndio hicho kilimo cha kunde au kuna kingine mkuu😂😂😂
 
SEMA MIMI NIMEKUELEWA PIA.. ITAKUJENGEA UTAKUWA HAUNA UHURU UTAKUWA UNAHISI MDA WOTE UNACHUNGULIWA... MAANA KWENYE HIZI NYUMBA KUNA MDA UNACHOKA KUKAA NDANI INABIDI UKAE NJE KIDOGO

SEMA NINI SIO MBAYA HAPO HAUNA JINSI YA KUFANYA NI KUWA MPOLE TU

TULIO JENGA NA TUNAFAMILIA TUMEKUELEWA KINACHOKUTESA SIO WIVU HAPANA.
Asnte sna [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
activity zenyewe za kuficha ndio hicho kilimo cha kunde au kuna kingine mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mm sijaotesha hizo kunde Ni watu tu. Nisio wajuwa wamevamia na Kisha kuotesha hzo kunde na mbogamboga

Nina ramani ya nyumba yangu itakavyo kuwa na ndicho kinachonipa mawazo kizani

Kwamba hata hvyo asilimia 60 ya maji ya mvua yatakuwa yanadondokea kwangu achilia mbali balcony yake hyo ya kula upepo oooh asisee hapn kbsaaa noma sna
 
hio ni moja ya tabia ya kipuuzi sana ambayo anayo Eva wangu. Kujistukia na kuwaza jirani anachungulia chumbani kwetu. Hio hali imepelekea mimi kutoa taa chumbani kwetu pakae giza tu maana ulikuwa ugomvi kila mara. Hio nyumba anayohofia iko mita 10 toka mahali dirisha letu lilipo.
 
Kuna jamaa yangu yy ameshea ukuta na MB sio MB tu pia ni NW .Mheshimiwa anagorofa jamaa yy nyumba ya kawaida tu.ebhana jamaa anaenda sawa sana na Mh .kwaiyo jitahidi mfahamiane na huyo jirani yako mnaweza kuta mkawa majirani wazuri namkasaidiana mambo mengi sana
Naamini Hilo ndugu ,hata mm pembenj yangu Ni naibu katibu mkuu wizar fln ambae pia Ni mtu aliwai kuwa mtu maarufu San kipindi Cha jiwe nae kajenga pale pale na jengo lake ameliseti vzr tu na sina wasiwasi nae sasa huyu hajafata sheria za mpango mji kajenga ilimardi tu Ana kiwanja
 
hio ni moja ya tabia ya kipuuzi sana ambayo anayo Eva wangu. Kujistukia na kuwaza jirani anachungulia chumbani kwetu. Hio hali imepelekea mimi kutoa taa chumbani kwetu pakae giza tu maana ulikuwa ugomvi kila mara. Hio nyumba anayohofia iko mita 10 toka mahali dirisha letu lilipo.
Yuko sahih kuwa na wasiwasi
 
Back
Top Bottom