Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Tulia tu jirani, nataka niwe naona unavyotikisa tako ukitoka kuoga kwenye kibafu chako cha nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliyekudharauAcha zarau kak usimchukulia mtu POA kisa yumu huku
Afate ramani na mpngo mji unavyo sema jamaa kakosea Sana kuliseti jengo lake maji asilimia 60 yatakuja kumwagika kwanguKila mtu si ana kwake? Muache ajenge kwake
Hpn Ni watu wamevamia nisio wajuwa na Kisha kuotesha kabechi na maharage ila nitawapa notice kuwa waacheshughli hizo hapokwahiyo wewe kiwanja chako umegeuza ni shamba mkuu
Jinsi jama alivyo seti jengo lake ndio tatizo pia aslimi 60 ya maji ya mvua yatamwagikia kwangu achilia mbali balcony yake hyoHakuna aliyekudharau
Mm I don't think soMroge hio nyumba uwe haiishi kila akinenga inakuwa hamna kitu
activity zenyewe za kuficha ndio hicho kilimo cha kunde au kuna kingine mkuu😂😂😂Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Asnte sna [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]SEMA MIMI NIMEKUELEWA PIA.. ITAKUJENGEA UTAKUWA HAUNA UHURU UTAKUWA UNAHISI MDA WOTE UNACHUNGULIWA... MAANA KWENYE HIZI NYUMBA KUNA MDA UNACHOKA KUKAA NDANI INABIDI UKAE NJE KIDOGO
SEMA NINI SIO MBAYA HAPO HAUNA JINSI YA KUFANYA NI KUWA MPOLE TU
TULIO JENGA NA TUNAFAMILIA TUMEKUELEWA KINACHOKUTESA SIO WIVU HAPANA.
Mkuu mm sijaotesha hizo kunde Ni watu tu. Nisio wajuwa wamevamia na Kisha kuotesha hzo kunde na mbogambogaactivity zenyewe za kuficha ndio hicho kilimo cha kunde au kuna kingine mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
We semaga tu ni kawaida utashangaa siku unagombaniana na mtu shamba wakati ni shamba/kiwanja chakoHpn Ni mtu simjui kavamia kaotesha mboga zake na hi Ni kawaida
Naamini Hilo ndugu ,hata mm pembenj yangu Ni naibu katibu mkuu wizar fln ambae pia Ni mtu aliwai kuwa mtu maarufu San kipindi Cha jiwe nae kajenga pale pale na jengo lake ameliseti vzr tu na sina wasiwasi nae sasa huyu hajafata sheria za mpango mji kajenga ilimardi tu Ana kiwanjaKuna jamaa yangu yy ameshea ukuta na MB sio MB tu pia ni NW .Mheshimiwa anagorofa jamaa yy nyumba ya kawaida tu.ebhana jamaa anaenda sawa sana na Mh .kwaiyo jitahidi mfahamiane na huyo jirani yako mnaweza kuta mkawa majirani wazuri namkasaidiana mambo mengi sana
Samini Hilo ila nitamkata kufanya shughli zzozte hapoWe semaga tu ni kawaida utashangaa siku unagombaniana na mtu shamba wakati ni shamba/kiwanja chako
Yuko sahih kuwa na wasiwasihio ni moja ya tabia ya kipuuzi sana ambayo anayo Eva wangu. Kujistukia na kuwaza jirani anachungulia chumbani kwetu. Hio hali imepelekea mimi kutoa taa chumbani kwetu pakae giza tu maana ulikuwa ugomvi kila mara. Hio nyumba anayohofia iko mita 10 toka mahali dirisha letu lilipo.
10 metres kweli halafu sehemu yenyewe ni maabara sio nyumba ambayo wanaishi watuYuko sahih kuwa na wasiwasi