Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Kiuharisia ❌Me nimekuelewa sana kaka.... Family inahitaji privacy!!!! Ukiona mtu baada ya kusoma uzi kaja juu, kwamba unaroho ya kimaskini, jua vice versa is true🤝
Kiuharisia, mwehu huwa haoni wehu wake..... na ignorant always think they are too smart 🚶🚶
Usibabaishwe na comments za wakazi wa Tandale kwa tumbo, hofu yako inaingia akilini ndugu
Kiuhalisia ✅
R I P Lowassa