Jirani yangu kapigwa kipigo kikali na mumewe hadi kapoteza fahamu, mdomo umemponza

Jirani yangu kapigwa kipigo kikali na mumewe hadi kapoteza fahamu, mdomo umemponza

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hapa ninapopanga, jirani yangu usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali sana. Huyu Mwanamke ni mzuri tu, lakini tatizo lake mdomo tu. Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa, mume wake ni chapombe. Huyu mume wake ni muungwana sana, lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga.

Nilichogundua, maisha ni magumu sana hapa Tanzania. Huyu mwanamke pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe. Jana kafukuzwa, lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati hana baba wala mama.

Hitimisho, wanaume tupugnguze vichapo, ni hatari unaweza kusabisha mauaji. Pia wanawake punguzeni mdomo, ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali sana.

Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.
 
Ni Kama wanawake wenye Mdomo bado wapo Mkuu.
Wewe mdomo wa kujibu huna hadi upigaji nke

Hilo lianaume pigs mke liambie pumbavu kabisa linaleta mambo ya kipumbavu kwenye dunia ya sasa

Akili halina bwege hilo.Kama lliko mjini halistahili kuishi mjini linaitakiwa likaishi kijijini tena sio kwenye watu likaishi maporini huko na ngedere
 
Hapa napopanga jirani yangu Usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali. Sana.

Huyu Mwanamke ni mzuri tu
Lakini tatizo lake Mdomo Tu

Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa mme wake Ni cha-pombe
Huyu mme wake ni humble Sana lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga .

Nilichogundua Maisha ni Magumu Sana hapa Tanzania Huyu Mwanamke Pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe.

Jana kafukuzwa lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati Hana Baba wala Mama

Hitimisho Wanaume tupugnguze vichapo ni hatari unaweza kusabisha mauaji / pia wanawake punguzeni Mdomo ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali Sana

Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.
Mkuu kumbe wewe ni me maana kwa namna ulivyouwasilisha huu ujumbe nikajua wewe ke
 
Na wanashangaaga mtu keshadedi tayari, mwanamke hachapwi bhn kwa makofi wala fimbo. Wanaume muda mwengine tujue ku-control hasira zetu tukielewa kwamba wale viumbe ni wadhaifu sana. Kitu kidogo atapiga kelele au atanuna. "Ishini nao kwa wema"
 
Tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko hata ilivyokadiriwa......inawezekana katika waTanzania kumi nane wakawa vichaa.......na mara nyingi mtu mwenye tatizo la afya ya akili hajijui bali mnaomuona ndio mnaojua........
 
Hapa napopanga jirani yangu Usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali. Sana.

Huyu Mwanamke ni mzuri tu
Lakini tatizo lake Mdomo Tu

Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa mme wake Ni cha-pombe
Huyu mme wake ni humble Sana lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga .

Nilichogundua Maisha ni Magumu Sana hapa Tanzania Huyu Mwanamke Pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe.

Jana kafukuzwa lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati Hana Baba wala Mama

Hitimisho Wanaume tupugnguze vichapo ni hatari unaweza kusabisha mauaji / pia wanawake punguzeni Mdomo ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali Sana

Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.
Wewe na huyo mwanaume anayembatua mkewe hamna tofauti.

Unakuja kusimulia hapa kana kwamba ni tukio la kujivunia.

Tafuta namna ya kuwasaidia hao wanandoa wasije wakauana.
 
Hapa napopanga jirani yangu Usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali. Sana.

Huyu Mwanamke ni mzuri tu
Lakini tatizo lake Mdomo Tu

Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa mme wake Ni cha-pombe
Huyu mme wake ni humble Sana lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga .

Nilichogundua Maisha ni Magumu Sana hapa Tanzania Huyu Mwanamke Pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe.

Jana kafukuzwa lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati Hana Baba wala Mama

Hitimisho Wanaume tupugnguze vichapo ni hatari unaweza kusabisha mauaji / pia wanawake punguzeni Mdomo ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali Sana

Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.
Moral of the story, Mind your Own Business
 
Wewe mdomo wa kujibu huna hadi upigaji nke

Hilo lianaume pigs mke liambie pumbavu kabisa linaleta mambo ya kipumbavu kwenye dunia ya sasa

Akili halina bwege hilo.Kama lliko mjini halistahili kuishi mjini linaitakiwa likaishi kijijini tena sio kwenye watu likaishi maporini huko na ngedere
Wewe unaweza kushindana mdomo na mkeo!? Kwanza sidhani hata kama mke unae wewe utakuwa unaishi kwa dadaako bila shaka
 
Hapa napopanga jirani yangu Usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali. Sana.

Huyu Mwanamke ni mzuri tu
Lakini tatizo lake Mdomo Tu

Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa mme wake Ni cha-pombe
Huyu mme wake ni humble Sana lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga .

Nilichogundua Maisha ni Magumu Sana hapa Tanzania Huyu Mwanamke Pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe.

Jana kafukuzwa lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati Hana Baba wala Mama

Hitimisho Wanaume tupugnguze vichapo ni hatari unaweza kusabisha mauaji / pia wanawake punguzeni Mdomo ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali Sana

Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.

safi sana

alichosahau ni gunia la mkaa
 
Back
Top Bottom