Jirani yangu kapigwa kipigo kikali na mumewe hadi kapoteza fahamu, mdomo umemponza

Jirani yangu kapigwa kipigo kikali na mumewe hadi kapoteza fahamu, mdomo umemponza

Mwambie huyo mwanamke akiona mme karudi kalewa aweke maji mdomoni bila kuyameza atanishukuru kesho yake
Ulete mrejesho
Huo ni ukuku
Mtu akizengua fungua mdomo ongea
Aliitishia maKofi na pombe zake na kuanza kupiga mke majirani tokeni na fimbo na mapanga na mashoka kampeni kipigo huyo mwanaume cha mbwa koko.

Hiyo ndio komesha ya hizo tabia za cha pombe analewa halafu anakuja piga piga mke
 
Kabisa mwanamke akileta kidonodomo lazima kidume umtwange mgumi mbili tatu
Hawa wa sasa kaa chonjo siku.yoyote ura RIP yaani Rest In Peace
Aweza kukuwekea sumu kwenye chakula au kinywaji ukaondoka mjinga wewe na ubabe wako
Mtu anakupikia halafu unaleta za kuleta
Aweza kufanyia kitu kibaya
Acheni huo upumbavu wa kupiga piga wake
 
Hawa wa sasa kaa chanjo siku.yoyote RIP
Aweza kukuwekea sumu kwenye chakula ukaondoka mjinga wewe
Mtu anakupikia halafu unaleta za kuleta
Aweza kufanyia kitu kibaya
Acheni huo upumbavu wa kupiga piga wake
Hawa hawana huo uwezo wewe wanawake wenyewe njaa tupu wee kama unamuhudumia vizuri ukimzabua mgumi mbili tatu hawezi fikia hiyo hatua
 
Wewe na huyo mwanaume anayembatua mkewe hamna tofauti.

Unakuja kusimulia hapa kana kwamba ni tukio la kujivunia.

Tafuta namna ya kuwasaidia hao wanandoa wasije wakauana.
We ndo hamnazo sasa, Mpigwaji mwenyewe anadai habanduki ko haya ndo maisha yao ukiingilia utasodolewa tu hapo badae. Fanya yanayokuhusu. Mleta mada kaona bora alete elimu huku kuliko kutafuta balaa kule
 
Wewe ni dume bwege ulliyezaliwa porini ukaja mjini kupitia elimu bure kwa wote

Elimu bure kwa wote imechangia kuleta mijitu mijinga kama wewe mjini

Ungebaki.huko huko vijijini maporini kwenu mnakopenda kuendekeza ujinga wa kupiga wake zenu
Inaonekana una Mdomo mwingi na Umekomazwa na vipigo kwa maana hutaki kubadilika kabisa, Nasubiri siku ukivunjwa Kiuno ndo ulete thread ya kuwashauri wanawake wenzio wajifunze kukaa Kimya

Mwanaume asiempiga Mke wa aina yako basi hana future kabisa na hiyo ndoa anapita tu..
 
Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke

Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Unaongea kitu ambacho hukijui, Ukiwa nae mwanamke mwenye mdomo ndio utajuwa Kwanini kesi za ndoa zinakuwa nyingi hivi.
 
Ila kanda ya ziwa inaongoza kwa wanaume kupiga wanawake zao....kuna sehemu nilihamia mzee ndani ya wiki wapangaji watatu wamewapiga wake zao na kuwafukuza kabisa....ila baada ya muda wakarudiana...
Kuna mmoja alikuwa ana mchapa mke wake kimya kimya,mwanamke akishindwa kuvumilia kichapo akaanza kulia niache niende kwetu,jamaa alifunga mlango kwa ndani anaendelea kumpa vitasa mkewe,sisi tunasikilizia tu mtifuano hahaaahaa ni raha kama mtu una bifu naye ukasikia anakula vitasa.

Basi mpangaji wa jirani na jamaa anayempiga mke wake akaamua kuingilia ugomvi,akamwambia jamaa anayetoa displine, oya tokeni mkapiganie nje msije kuuwana humu ndani tukapata kesi,mtoa vitasa anaendelendelea kutoa vitasa ....mke analia tu,mwisho wake jirani akatoka kwake akaenda mlangoni kwa jamaa akagonga mpango kwa nguvu...jamaa wa vitasa akapoa akafungua mlango akamwambia jirani yake haya chukua huyo mwanamka kama unataka ,walijibizana pale wakataka kupigana kabisa...mke akaondoka usiku ule ilikuwa kama saa sita,jamaa wakabaki wanarushiana maneno....

Ujumbe.
Wanaume tujizuie kuwapiga wake zetu sio ustaarabu hasa kwenye maisha ya nyumba za kupanga inamdhalilisha sana mwanamke,kama unaishi kwako afadhali kama hauwezi vumilia mchape fimbo kama mwanao umpendaye wanawake ni dhaifu sana inabidi kuishi nao huku tukielewa udhaifu wao....kuna wazazi wetu wametulea tumeona katika ndoa zao hawajawahi kupigana zaidi ya miaka 10,20,-30 hivyo kwenye ndoa uvumilivu ndio silaha yako mwanaume.
we jamaa mbn unatuchanganya ! mafeminists wameshasema wao sio viumbe dhaifu ni wanangangari.! kwahio ngangari tunadeal nae kwa mkono wa chuma..aidha wakijishusha na kukubali wao ni wadhaifu bc tutawapiga kwa upande wa kanga.
 
We ndo hamnazo sasa, Mpigwaji mwenyewe anadai habanduki ko haya ndo maisha yao ukiingilia utasodolewa tu hapo badae. Fanya yanayokuhusu. Mleta mada kaona bora alete elimu huku kuliko kutafuta balaa kule
Mwanamke mpaka apigwe anakuwa amezingua kweli. Mara chache mno mwanamke apigwe ikiwa hajakosea ndio maana hawaondokagi.
 
Huo ni ukuku
Mtu akizengua fungua mdomo ongea
Aliitishia maKofi na pombe zake na kuanza kupiga mke majirani tokeni na fimbo na mapanga na mashoka kampeni kipigo huyo mwanaume cha mbwa koko.

Hiyo ndio komesha ya hizo tabia za cha pombe analewa halafu anakuja piga piga mke
Mdomo unaufungua kwa mlevi?
Unajua kila unapobishana na mlevi ndio anazidi kelele

Nimeona sio walevi tu na wengine ambao sio walevi bali wakirudi home mwanamke anaanza kuuliza maswali kabla hata hajampokea
Kama na wewe ni mmoja wa wanawake wanaopiga kelele na kuuliza waume zao walikuwa wapi basi nakupa pole

Au unaweza kuwa wale watoto waliokulia kwa wazazi wanaotukanana na kupigana kila siku, siwezi kujua maana waswahili huwa hawayaongelei haya ila watasema ya wengine wakati ya kwenu mnayaficha

Sema ukweli unaumia wapi maisha ya utotoni au ukubwani
 
Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke

Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Mkuu umesikia ni wapi inaandikwa Biblia na Quran nyingine au hata kutolewa tolee jipya
 
Mdomo unaufungua kwa mlevi?
Unajua kila unapobishana na mlevi ndio anazidi kelele

Nimeona sio walevi tu na wengine ambao sio walevi bali wakirudi home mwanamke anaanza kuuliza maswali kabla hata hajampokea
Kama na wewe ni mmoja wa wanawake wanaopiga kelele na kuuliza waume zao walikuwa wapi basi nakupa pole
Kuna walevi wa aina ile ya naenda kunywa pombe huyu mke nikirudi atanikoma

Mwanamke aache kufungua mdomo anajikomba nini kwake?
Yuko mmoja mkewe alimtwanga na mchi wa kutwangia kwenye kinu hadi akazimia na kujeruhiwa vibaya

Akirudi pombe zake usiku
anaamsha mke na makofi anamwambia aue mbu kwa mikono wanamng'ata kitandani walikuwa hawana not mume chapombe hata neti kununua hawezi pesa yote anapeleka kwenye pombe akirudi anapiga mke makofi ohh mwanamke ana kelele hanisikilizi
 
Back
Top Bottom