Jirani yangu kapigwa kipigo kikali na mumewe hadi kapoteza fahamu, mdomo umemponza

Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke

Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
ebu nipe namba za huyo dada mwambie vipigo sasa basi mtetez wake na ninaempenda nipo huku akuje ss
 
Siku ukioa uanze ishi na mke uje uelezee haya. Kwa sasa unaishi kwa shemeji yako lazima uongee hivi kwa sababu ya dada yako.
 
Wanaume suruali watakuja kukemea upigaji wa wanawake. Akizingua lazima achezee. Msidanganywe na hawa mapoyoyo walioharibiwa na feminism.
Wewe ni dume bwege ulliyezaliwa porini ukaja mjini kupitia elimu bure kwa wote

Elimu bure kwa wote imechangia kuleta mijitu mijinga kama wewe mjini

Ungebaki.huko huko vijijini maporini kwenu mnakopenda kuendekeza ujinga wa kupiga wake zenu
 
Wewe ni dume bwege ulliyezaliwa porini ukaja mjini kupitia elimu bure kwa wote

Elimu bure kwa wote nimechangia kuleta mijitu mijinga kama wewe mjini

Ungebaki.huko huko vijijini maporini kwenu mnakopenda kuendekeza ujinga wa kupiga wake zenu
Bwege ni yupi: anayepelekeshwa na mwanamke na feminism au anayeuishi uanaume wake?
 
Dawa ya mdomo ni kichapo kama adhabu ndogo. Mafeminist mctufundishe namna ya kuadabishan. Wakati putin anatusaidia kupga mafeminist makubwa, hutu twa nyumbani ni size yetu.
 
Ila kanda ya ziwa inaongoza kwa wanaume kupiga wanawake zao....kuna sehemu nilihamia mzee ndani ya wiki wapangaji watatu wamewapiga wake zao na kuwafukuza kabisa....ila baada ya muda wakarudiana...
Kuna mmoja alikuwa ana mchapa mke wake kimya kimya,mwanamke akishindwa kuvumilia kichapo akaanza kulia niache niende kwetu,jamaa alifunga mlango kwa ndani anaendelea kumpa vitasa mkewe,sisi tunasikilizia tu mtifuano hahaaahaa ni raha kama mtu una bifu naye ukasikia anakula vitasa.

Basi mpangaji wa jirani na jamaa anayempiga mke wake akaamua kuingilia ugomvi,akamwambia jamaa anayetoa displine, oya tokeni mkapiganie nje msije kuuwana humu ndani tukapata kesi,mtoa vitasa anaendelendelea kutoa vitasa ....mke analia tu,mwisho wake jirani akatoka kwake akaenda mlangoni kwa jamaa akagonga mpango kwa nguvu...jamaa wa vitasa akapoa akafungua mlango akamwambia jirani yake haya chukua huyo mwanamka kama unataka ,walijibizana pale wakataka kupigana kabisa...mke akaondoka usiku ule ilikuwa kama saa sita,jamaa wakabaki wanarushiana maneno....

Ujumbe.
Wanaume tujizuie kuwapiga wake zetu sio ustaarabu hasa kwenye maisha ya nyumba za kupanga inamdhalilisha sana mwanamke,kama unaishi kwako afadhali kama hauwezi vumilia mchape fimbo kama mwanao umpendaye wanawake ni dhaifu sana inabidi kuishi nao huku tukielewa udhaifu wao....kuna wazazi wetu wametulea tumeona katika ndoa zao hawajawahi kupigana zaidi ya miaka 10,20,-30 hivyo kwenye ndoa uvumilivu ndio silaha yako mwanaume.
 
Wanaume suruali watakuja kukemea upigaji wa wanawake. Akizingua lazima achezee. Msidanganywe na hawa mapoyoyo walioharibiwa na feminism.
Kabisa mwanamke akileta kidonodomo lazima kidume umtwange mgumi mbili tatu
 
Tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko hata ilivyokadiriwa......inawezekana katika waTanzania kumi nane wakawa vichaa.......na mara nyingi mtu mwenye tatizo la afya ya akili hajijui bali mnaomuona ndio mnaojua........
Ukizingatia hakuna panapokuwa panauma
 
Kuna bwege mmoja nilimtokea na panga usiku.
Nimelala nasikia nje watu Wana gombana mwanamke analia alafu jamaa anaonekana kalewa.
Akaanza kumpiga yule mwanamke bahati yake alikimbia aliponiona na panga
Ulifanya vizuri

Hiyo mikele ya kupiga mke ni public nuisance anakosesha watu wengine usingizi wao au utulivu wao

Ingekuwa mimi ni jirani yangu huyo siku hiyo ningemtokea na shoka kabisa .Wewe una huruma sana kumtokea na panga ni ushahidi kuwa una huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…